Wasanii wa bongo fleva ambao wakishirishwa ngoma lazima ibambe mtaani.

Youngblood

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,433
Reaction score
56,810
Kwa mtazamo wangu nadhani hawa ndiyo wasanii wa bongo fleva ambao wameshirikishwa kwenye nyimbo bila kuharibu na wakati mwingine kuzipaisha ngoma zenyewe.

1.Alikiba.
2.G.Nako
3.Barnaba boy.
4.Rich mavoko.
5.Juma jux
 
No moja ni Christina Bella jamaa anafanya vizur akishirikishwa pengine hata kumfunika muhusika mkuu
Fid ft Bella roho
Kiba ft Bella nagharamia
Linex ft Bella kwa hela
Pah one ft Bella magoma
Kasim mganga ft Bella subira
 
No moja ni Christina Bella jamaa anafanya vizur akishirikishwa pengine hata kumfunika muhusika mkuu
Fid ft Bella roho
Kiba ft Bella nagharamia
Linex ft Bella kwa hela
Pah one ft Bella magoma
Kasim mganga ft Bella subira
 
Kwa mtazamo wangu nadhani hawa ndiyo wasanii wa bongo fleva ambao wameshirikishwa kwenye nyimbo bila kuharibu na wakati mwingine kuzipaisha ngoma zenyewe.

1.Alikiba.
2.G.Nako
3.Barnaba boy.
4.Rich mavoko.
5.Juma jux
Mtoe jux kwenye hiyo list mkuu,..,,,,au nitajie hit songs tatu tu alizoshirikishwa na zikabamba
 
No moja ni Christina Bella jamaa anafanya vizur akishirikishwa pengine hata kumfunika muhusika mkuu
Fid ft Bella roho
Kiba ft Bella nagharamia
Linex ft Bella kwa hela
Pah one ft Bella magoma
Kasim mganga ft Bella subira
Mkuu hivi kumbe kwa hela ya linex ni featuring christian bella!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…