Wasanii wa Bongo fleva wakipiga push up kumuunga mkono Dk. John Pombe Magufuli

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala.
 
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala.

Ukosefu wa elimu + umasikini = hivi. Maskini nchi yangu
 
Yale maigizo ya marathoni mwisho wake umefika
 
sisi tunataka hoja sio mazoezii kwani wanachi wamewambia wanataka kupigana mieleka au wana hitaji huduma bora!!
 
Mwaka huu hata muonyeshe jinsi mnavyokunya au mnavyopiga bao nyingi kwa mademu zenu hampati kura za kutosha kuongoza nchi hii nyie maccm
 
Mtapiga sana pushups mwaka huu ila ikulu pombe haiendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…