Wasanii wa Bongo fleva wakipiga push up kumuunga mkono Dk. John Pombe Magufuli

Wasanii wa Bongo fleva wakipiga push up kumuunga mkono Dk. John Pombe Magufuli

Watu wanao jali afya zao wapo kwa Magufuli na sio wale wabeba mizigo mpaka kwenye ngazi za jukwaa unabebwa kama furishi.
Mimi nadhani Dr John POMBE Magufuli anatakiwa eaelekezwe sehemu zinapopatikana gym, na wala sio kugeuza sehemu za kuelezea vipaumbele na sera kuwa sehemu ya kufanyia mazoezi ya body fitness!
 
viloba aka pombe anaungwa mkono na watu wajina ambao hawakusoma xaxa je hao waxanii ndo weng wao walikimbia umande
 
Tunataka mwizi mwingine,we zamani tumemchoka
 
Uyu jamaa bana
 

Attachments

  • 1443418735618.jpg
    1443418735618.jpg
    54.1 KB · Views: 151
  • 1443418758666.jpg
    1443418758666.jpg
    52.5 KB · Views: 139
Back
Top Bottom