Namuangalia Dudubaya akihojiwa na Salama kwenye kipindi cha mikasi.....jamaa anaongea ujinga mtupu.
Swali gani kajibu vibaya na ungekua wewe ungejibu vipi? Kipindi chenyewe ni cha mzaha unataka mtu akomae na majibu sahihi kama anajibu mtihani?..sema jingine hapo hakuna haja ya kumlaumu huyo jamaa japo naye ni kubwa jinga!
Bora h2ta hicho kipindi cha kihuni kinachoendeshwa na msagaji kipo kwenye television yenu pendwa.
Sipati picha kama kingelikua mawingu tv ambavyo mngeporomosha matusi kuanza mmiliki,management hadi wafanyakazi wenyewe.
Sasa niwaulize hicho kipindi kinachotengenezewa saloon kina utofauti gani na vile vya mawingu???
Je wafanyakazi wake wana tofauti gani na wale wa mawingu???
Tatito maisha wengi wenu yamechapa kmwishowe mmeamua kuishi maisha ya visilani kwa kuwachukia baadhi ya watu na mafanikio yao kisa hawaongei na kuvipamba vile mpendavyo kusikiliza.
Hivi alivyokuwa anasema anakunywa bapa alikuwa anamaanisha kinywaji gani?
Wewe kiboko ya Dudubaya ni Kalapina ......Kuna msanii wa longtime Bad Spark (yule aliyechana kwenye single ya Daajo) aliwahi kuniambia Pina alishamuibukia Dudu maskani enzi hizo na lile sauti lake la mabange "mwana nimekuja sasa" ikabidi Dudu anywee ilikuwa baada ya Dudu kudai ugomvi wao wa Billz mabaunsa walimshika ndio maana Pina akamuotea ......Pina ndio kiranja wa ugomvi .....
Hivi alivyokuwa anasema anakunywa bapa alikuwa anamaanisha kinywaji gani?
Bora h2ta hicho kipindi cha kihuni kinachoendeshwa na msagaji kipo kwenye television yenu pendwa.
Sipati picha kama kingelikua mawingu tv ambavyo mngeporomosha matusi kuanza mmiliki,management hadi wafanyakazi wenyewe.
Sasa niwaulize hicho kipindi kinachotengenezewa saloon kina utofauti gani na vile vya mawingu???
Je wafanyakazi wake wana tofauti gani na wale wa mawingu???
Tatito maisha wengi wenu yamechapa mwishowe mmeamua kuishi maisha ya visilani kwa kuwachukia baadhi ya watu na mafanikio yao kisa hawaongei na kuvipamba vile mpendavyo kusikiliza.