Wasanii wa bongo kumbe ni maskini wa kutupa

Wasanii wa bongo kumbe ni maskini wa kutupa

Kutokuwa na pesa nako kunadhoofisha mawazo, yaani wewe ukiwa na pesa ikatokea jirani akaugua au workmate niseme unaweza kujitoa 100%kwenye account yako eti kisa una pesa? Mnachukuliaga vitu simple kwakuwa halijakukuta
 
Ni lini umenunua kazi ya Msanii au ni nani mtu wako wa karibu umeona ana tabia ya kununua au wote ni mwendo wa piracy ?!!!

Kwahio usishangae kama tasnia hii haina pesa za kumwaga; vilevile playing the part ndio usanii wenyewe (wanauza a status they need to portray being stars / better than average)

Anyway badala ya kulaumu watu wanakosa huduma muhimu (basic need) kwa watunga sera kutokufikisha huduma hizi muhimu unalaumu kwanini watu wasichangiane / tembeza bakuli ? Kodi zetu zinafanya nini ?
Word....
 
Boshen wa Haitham simanzi tupu[emoji174]

Pichani ni Mume wa aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva Haitham Kim, Boshen akiwa pembeni ya jeneza la mke wake huyo wakati mwili ukielekea Makaburi ya kisutu kwenda kuzikwa.
FB_IMG_1693664536006.jpg
 
Nimeshangaa wagawa marange, wanatumia pesa kutunza, matajiri wa bilioni na bilioni wakishindwa kumsaidia dada aliyefariki na wao wakitembeza bakuli.

Wasanii acheni uongo na ugonjwa ndiyo utajua utajiri wako

Pesa ya sheitwani huwa ya masharti...
 
Mkuu tambua kuwa matibabu ni gharama sana, wasanii wachache sana ambao wakifikwa na maradhi wanaweza kujitibia bila kuomba msaada, fikiria Marehemu Ruge au Prof Jay kwa hadhi yao ila nae walipitisha michango
Umesema kweli kuuguza si jambo jepesi. Wewe fikiria alikuwa eti anachoma sindano moja kila siku lak 7, hapo bado gharama nyinginezo. Ukiwa umewahi kuuguza utaelewa.
 
Maigizo na kujikweza kunawatesa sana.
Pili, kiuhalisia hata zile pesa wanazo sema wanapata huwa hawazipati. Kupata endorsement ni dili. Sasa, kama ofisa anakwambia tunakupa endorsement ya 50m kwa miezi 6 lakini ukikipwa nusu yetu unachagua ukubali au ukatae. Huku umepata 25m lakini matangazo yote yanaonyesha umepata 50m.
Halafu wategemezi ni wengi, mabaunsa, wanenguaji, video qeens, mademu, magari, mapambo ya mwili n.k. Hela inapungua sana.
 
Nimeshangaa wagawa marange, wanatumia pesa kutunza, matajiri wa bilioni na bilioni wakishindwa kumsaidia dada aliyefariki na wao wakitembeza bakuli.

Wasanii acheni uongo na ugonjwa ndiyo utajua utajiri wako

Wasanii wanafanya hivyo kwa ajili ya kujivalue ili promota akibeep tu kikazi anagewa invoice ya mamilioni ila on the other hand huku sisi mashabiki wasaka nyoka tunaona jamaa ni matajiri lakini wasanii target yao ni kupata endorsement kubwa na Pakee kubwa kwenye kazi.

Msanii ni MSANII tu...Hata Domondi pamoja na kuwa na MAKOKOTO na VIBUNDA vya kutosha lakini na yeye huwa anaongeza 0 na pia somtimes anamiliki majumba ya instagram.
 
Nimeshangaa wagawa marange, wanatumia pesa kutunza, matajiri wa bilioni na bilioni wakishindwa kumsaidia dada aliyefariki na wao wakitembeza bakuli.

Wasanii acheni uongo na ugonjwa ndiyo utajua utajiri wako
Kuna Mwaka Wem Sepetu alizawadiwa Range kwenye Birthday Yake.

Cha kushangaza marafiki wake wa karibu wanadai alikaa nayo kwa mwezi mmoja tu ikapotea.

Wengine walidai yalikuwa maigizo tu kama ambavyo wanafanya kwenye vongo movie.
 
Wasanii wanafanya hivyo kwa ajili ya kujivalue ili promota akibeep tu kikazi anagewa invoice ya mamilioni ila on the other hand huku sisi mashabiki wasaka nyoka tunaona jamaa ni matajiri lakini wasanii target yao ni kupata endorsement kubwa na Pakee kubwa kwenye kazi.

Msanii ni MSANII tu...Hata Domondi pamoja na kuwa na MAKOKOTO na VIBUNDA vya kutosha lakini na yeye huwa anaongeza 0 na pia somtimes anamiliki majumba ya instagram.
Sahihi
 
Back
Top Bottom