Wasanii wa Bongo na ulimbukeni wa ishara za mikono kwenye video

Wasanii wa Bongo na ulimbukeni wa ishara za mikono kwenye video

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Hakuna vitu sipendi kama kuona video ya mziki msanii wa bongo ana rusha rusha mikono kwa ishara za kuiga kwa wasananii wa hip-hop wamarekani bila kujua kama zina maana au laa mwenyewe akijua ni fasheni.

Huu ushamba hata wasanii wa Nigeria kina davido wanao utakuta video ya afrobeat mtu anatupia gang signs bila kujua hata ni vitu gani kisa tu kaona kina lil wayne au quavo katupia kwenye video yake na yeye anaiga.

Nawapongeza sana wasanii wa Kwaito hawa jamaa wako tofauti sana kila siku wanabuni vitu vipya hadi leo wana amapiano na style zao za kucheza na ku act kwenye video hawaigi marekani hata kidogo.

Wasanii acheni kuigiza kwenye video kurusha rusha mavidole mnajichoresha, wenzenu kule ukiona katupia vidole style flani ujue anatuma ujumbe kwa watu wa mji flani ambao ni members wa genge flani hata wenyewe wakiona hizo video msanii wao kawawakilisha wanalipuka kwa furaha

Sasa wewe uko afrika huku unatupia mividole kwa sign hata huzijui wenyewe wenye magenge yao wakiona video yako wanakushangaa mwisho wa siku utajikuta umeenda kwenye mji huko marekani ukapigwa risasi kwa kuonekana wewe ni member wa genge la maadui zao bure.

imagehajas%20(2).jpg
 
Hakuna vitu sipendi kama kuona video ya mziki msanii wa bongo ana rusha rusha mikono kwa ishara za kuiga kwa wasananii wa hip-hop wamarekani bila kujua kama zina maana au laa mwenyewe akijua ni fasheni.

Huu ushamba hata wasanii wa Nigeria kina davido wanao utakuta video ya afrobeat mtu anatupia gang signs bila kujua hata ni vitu gani kisa tu kaona kina lil wayne au quavo katupia kwenye video yake na yeye anaiga.

Nawapongeza sana wasanii wa Kwaito hawa jamaa wako tofauti sana kila siku wanabuni vitu vipya hadi leo wana amapiano na style zao za kucheza na ku act kwenye video hawaigi marekani hata kidogo.

Wasanii acheni kuigiza kwenye video kurusha rusha mavidole mnajichoresha, wenzenu kule ukiona katupia vidole style flani ujue anatuma ujumbe kwa watu wa mji flani ambao ni members wa genge flani hata wenyewe wakiona hizo video msanii wao kawawakilisha wanalipuka kwa furaha

Sasa wewe uko afrika huku unatupia mividole kwa sign hata huzijui wenyewe wenye magenge yao wakiona video yako wanakushangaa mwisho wa siku utajikuta umeenda kwenye mji huko marekani ukapigwa risasi kwa kuonekana wewe ni member wa genge la maadui zao bure.

View attachment 2565860
Mkuu mbona sign zote ni za crips na bloods with their set,s_???????.Umeweka na moja tu ya latino King's,kwani marekani hizo ndio gang,s pekee zinazowakilishwa kwenye video za muziki?????.Na vp zile style za kucheza na kuvaa za wasanii wa kwaito kwenye video zao zinazowakilisha gang,s za 26,27 na 28 waga huzioni?????? @ Instagram
 
Unakuta mtu anarusha rusha mikono kama kwaya masta na maishara ya ajabu ajabu.

Tena wasanii wa hip hop bongo ndio washamba balaa

Mimi hata kama hiyo ishara hazina maana yoyote ila kuzionyesha onyesha tu ni utaahira, hazina maana yoyote.

Badala yajikite kwenye mashairi, yanajikita kwenye ishara za mikono na vidole.
 
Unakuta mtu anarusha rusha mikono kama kwaya masta na maishara ya ajabu ajabu.

Tena wasanii wa hip hop bongo ndio washamba balaa

Mimi hata kama hiyo ishara hazina maana yoyote ila kuzionyesha onyesha tu ni utaahira, hazina maana yoyote.

Badala yajikite kwenye mashairi, yanajikita kwenye ishara za mikono na vidole.
Be easy""Yanajikita"""sio lugha yenye stara mdau.
 
una uhakika gani kwamba wao hawahusiani na wanachokifanya?

jitu kubwa kabisa limebalehe halafu useme halijui linachofanya aisee nakataa! wasioelewa wanachokifanya ni watoto zetu wanaoiga hao wapumbavu
 
Mkuu mbona sign zote ni za crips na bloods with their set,s_???????.Umeweka na moja tu ya latino King's,kwani marekani hizo ndio gang,s pekee zinazowakilishwa kwenye video za muziki?????.Na vp zile style za kucheza na kuvaa za wasanii wa kwaito kwenye video zao zinazowakilisha gang,s za 26,27 na 28 waga huzioni??????
Those signs aren't universal, kila nchi similar signs have completely different meaning. Hivyo hakuna tatizo hata TZ wakizitumia kwa maana zao tofauti na zinavyotumika US.
Kwa TZ mwanamke akivaa cheni mguuni(kikuku) it's translated kwamba anatoa [emoji108][emoji2539] kitu ambacho kwa nchi nyingine ukiwapa tafsiri hiyo watakuona chizi.
Ni kwamba hizo signs siyo universal ila ukiwa kwenye territories za wahusika ukatumia wrong signs ndiyo yatakukuta ya kukukuta.
 
Those signs aren't universal, kila nchi similar signs have completely different meaning. Hivyo hakuna tatizo hata TZ wakizitumia kwa maana zao tofauti na zinavyotumika US.
Kwa TZ mwanamke akivaa cheni mguuni(kikuku) it's translated kwamba anatoa [emoji108][emoji2539] kitu ambacho kwa nchi nyingine ukiwapa tafsiri hiyo watakuona chini.
Ni kwamba hizo signs siyo universal ila ukiwa kwenye territories za wahusika ukatumia wrong signs ndiyo yatakukuta ya kukukuta.
Kwahiyo wasanii wetu ruksa tu kutumia hizo sign mkuu au??? @ Instagram
 
Kwahiyo wasanii wetu ruksa tu kutumia hizo sign mkuu au??? @ Instagram
Kwani ni lazima kuku ja mavidole kwani kina mubaraka mwinshehe walikuwa wanafanya hivyo. Wewe kibongo bongo unamuelewaje mtu anayerusha kidole kidogo cha mwisho juu kama james delicious?
 
Those signs aren't universal, kila nchi similar signs have completely different meaning. Hivyo hakuna tatizo hata TZ wakizitumia kwa maana zao tofauti na zinavyotumika US.
Kwa TZ mwanamke akivaa cheni mguuni(kikuku) it's translated kwamba anatoa [emoji108][emoji2539] kitu ambacho kwa nchi nyingine ukiwapa tafsiri hiyo watakuona chini.
Ni kwamba hizo signs siyo universal ila ukiwa kwenye territories za wahusika ukatumia wrong signs ndiyo yatakukuta ya kukukuta.
Angalau nimekuelewa
 
Unakuta mtu anarusha rusha mikono kama kwaya masta na maishara ya ajabu ajabu.

Tena wasanii wa hip hop bongo ndio washamba balaa

Mimi hata kama hiyo ishara hazina maana yoyote ila kuzionyesha onyesha tu ni utaahira, hazina maana yoyote.

Badala yajikite kwenye mashairi, yanajikita kwenye ishara za mikono na vidole.
Hizo ndo swaga, mbna hta mziki tumeuiga sasa tukiiga ishara kuna shida.. hatuna kitu chetu cha kujivunia... Kuanzia mavazi, dini hta vyakula Kwa sasa
 
Back
Top Bottom