Wasanii wa Bongo na ulimbukeni wa ishara za mikono kwenye video

Wasanii wa Bongo na ulimbukeni wa ishara za mikono kwenye video

Daley took 'em out them Crown Vics and bought 'em Tahoes
In traffic, I don't panic when I see them police lights
I got them pigs in my pockets like Jody Weis
Hustling that white snow, temperature is ice cold
My workers serving with them cameras on the light-pole
Gangster Disciples, Black Stones, BDs
The biggest street gang is the C-P-D.
 
Asa ndo nini
IMG_20230327_034916.jpg
 
Kwani ni lazima kuku ja mavidole kwani kina mubaraka mwinshehe walikuwa wanafanya hivyo. Wewe kibongo bongo unamuelewaje mtu anayerusha kidole kidogo cha mwisho juu kama james delicious?
Hoja yako ni sign au kumealewaje anayerusha kidole kama James delicious....simama na hoja yako usidundedunde.

Kuna tatizo mtu kutumia uwezo aliopewa na Mungu ??

Hao watu unaosema sign zao waiingia mkataba na Mungu kuwa aufanye mkono uwe na uwezo wa kujikunja hivyo hili iwe sign yao....is it reasoning??

Kundi fulani linikunja vidole viwili kwako tena watu wote Billion 6 Duniani hawaruhusiwi kukunja vidole kwa namna hio kisa watu fulani 10......INSANE BRAIN
 
Hakuna vitu sipendi kama kuona video ya mziki msanii wa bongo ana rusha rusha mikono kwa ishara za kuiga kwa wasananii wa hip-hop wamarekani bila kujua kama zina maana au laa mwenyewe akijua ni fasheni.

Huu ushamba hata wasanii wa Nigeria kina davido wanao utakuta video ya afrobeat mtu anatupia gang signs bila kujua hata ni vitu gani kisa tu kaona kina lil wayne au quavo katupia kwenye video yake na yeye anaiga.

Nawapongeza sana wasanii wa Kwaito hawa jamaa wako tofauti sana kila siku wanabuni vitu vipya hadi leo wana amapiano na style zao za kucheza na ku act kwenye video hawaigi marekani hata kidogo.

Wasanii acheni kuigiza kwenye video kurusha rusha mavidole mnajichoresha, wenzenu kule ukiona katupia vidole style flani ujue anatuma ujumbe kwa watu wa mji flani ambao ni members wa genge flani hata wenyewe wakiona hizo video msanii wao kawawakilisha wanalipuka kwa furaha

Sasa wewe uko afrika huku unatupia mividole kwa sign hata huzijui wenyewe wenye magenge yao wakiona video yako wanakushangaa mwisho wa siku utajikuta umeenda kwenye mji huko marekani ukapigwa risasi kwa kuonekana wewe ni member wa genge la maadui zao bure.

View attachment 2565860
Acha ku complicate mambo utapata taabu duniani. Hizo signs za vidole zinatumika kila sehemu duniani mfano wako umejikita SA kusema sijui hawazitumii, lakini videos nyingi duniani na hata mapozi ya picha watu wanaweka hizo signs za vidole. Kwahiyo hao wahuni wa USA ndiyo wana patent ya kuzitumia hizo sign peke yao hapa duniani? Msiwe mnaandika kujaza server.
 
Mean mtu yeyote akikunja vidole namna hii ni tatizo kwasababu watu fulani hukl sijui New York au wapi walikaa chini wakaamua kukunja hivi kiwe sign yetu...ninyi ndio watu ambao LGBTQ wame-win sana kwenye kutumia uoinde wa mvua maana mtu zigo zigo kabisa
Kwaiyo mtu akitumia alama ya upinde wa mvua wewe utamuta mtu mwenye uhuru wa kutumia alama yoyote ile duniani kwani hakuna mtu mwenye hatimiliki ya alama. Poa basi wewe tumia alama ya upinde bas tuone
 
Back
Top Bottom