Wasanii wa Bongo wamtelekeza Idris, hakuna aliyeenda kumwangalia wala kumpost

Wasanii wa Bongo wamtelekeza Idris, hakuna aliyeenda kumwangalia wala kumpost

Usitarajie akitoka atakua na uchungu. No, utamuona kwenye kampeni like nothing ever happened to him.
 
Dogo Idris hana talent ya kuchekesha, he is just a Mockingbird! The saddest part is that he's overdoing it!

On the other hand, ni vile jamaa yuko na looks freshi ambazo wadada wengi wanaizimia so they literally laugh on anything the Guy posts hata kama havichekeshi cause of some sort of feelings.You can call me a hater or sumn but thats FACTUAL!
Huyu Idris alifanya kosa la kwanza la utani kwa Mh Rais akahenyeshwa Central alafu hata miezi 6 haijapita anamtania tena Mh Rais

Huyu alifanya kosa huku akijua ni kosa, unaanzaje kumuonea huruma muache apambanie kombe mwenyewe

Ukisema anafosi kipaji unaonekana humpendi yaani kakosa content zingine mpaka ile ile ya Rais
 
Unamdhihaki vipi wakati picha alipiga mwenyewe? Ni kama leo chaputa wakitumia picha za kidoti ambazo aliposti yeye mwenyewe
Unaweza kuchukua picha ya baba yako ukaiweka mtandaoni ukaanza kucheka kwa kejeli? Acheni kutumika vibaya mtaumia. Huyu jijaba hana adabu hata kidogo na ndio maana wasabi wenzake wamempotezea

God save us
 
Sikai kwa shemeji nitake radhi. Anyways Raisi sio mungu eti hakosolewi. Trevor Noah katengeneza career yake kwa kumsimanga trump kupitia show yake. Mimi sio fan wa trevor noah na idriss sultan lakini kama mtu mzima anatakiwa kua na hekima. Sio kila vita lazma aipigane. Watu kama idris ni insignificant sana kumtesa hakutosaidia wala kumuongezea heshima mkulu. Bali inakua kinyume.

Sent From Galaxy S20 Ultra
Unaonesha ni jinsi jinsi gani usivyo na adabu wala heshima kwa wakubwa zako. Kama umeolewa mumeo amepata hasara kubwa sana.

God save us
 
Mwanakulitafuta, Mwanakulipata....
Apambane tu.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
Usa river ya Arusha au??
Mbona USA wanamtukana trump kila kukicha
Ile nchi ni democratic mzee usilinganishe na hii ya kwetu ya kidikteta
 
ahahahahahahhaha.......... 😆 😆 😆 😆 😆 😆 yani wewe ndo haujielewi kabisa....marekani hawani huo upunguani....Raisi wa Marekani huwa anadhihakiwa na kutukanwa kuliko hata hili alilolifanya Idriss...
Achana naye hilo Bia yetu, mshamba mmoja.
 
Mbona Lady Jd anampost kila siku?
Screenshot_20200520-233011.png
IMG_20200520_232857.jpeg
 
Unaonesha ni jinsi jinsi gani usivyo na adabu wala heshima kwa wakubwa zako. Kama umeolewa mumeo amepata hasara kubwa sana.

God save us
Hoja hujibiwa kwa hoja. Huna hoja umeamua kuni attack personally. Chuki binafsi.

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Haya majinga ya CCM yanamuabudu huyo bwege kama Mungu , kuna comedy show ya Bill Maher hiyo ya Trevor Noah ni cha mtoto , huyu Bill Maher ni habari nyingine kuna kipindi mpaka battle Yao ilikuwa habari ya mjini tweeter .
Mimi namlaumu Albert bashite nahisi mkono wake upo katika hili japo hakutamka hadharani kama alivyofanya kipindi kile.

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi
Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
Watu mnaongea tu vitu msivyovijua. Hata USA haujaishi halafu unadiriki kuweka theory kuihusu. Marekani Snoop Dogg alitengeneza sanamu ya Trump akaipiga risasi. Kwa katiba ya USA (freedom of speech), ana haki ya kufanya hivyo. Imagine mtu atengeneze sanamu ya rais wa nchi ya Africa kama Tz halafu aipige risasi. Msiwe mnaandika vitu kwa kubuni buni tu. Kama mtu haujui kitu, ni heri ukanyamaza kimya.
snoop-trump-bang_16882213251a23239dd58c07f7b6df4a.fit-2000w.jpg
 
Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !

Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
USA hawana sheria mbovu mbovu kama Tanzania na kingine mahakama zao (us) ziko huru sana kiasi cha kwamba inaamua ikiwa huru bila uoga
 
Back
Top Bottom