Eeehe kuna nyimboo nyingi hazichezeki lakin nzuri hata kuzisikilizaaa
nzuri kuzisikiliza unamaanisha nini?tune au melody?ujumbe au kitu gani?mama hujui mziki nenda jamii photo.
huyo matumbo kavurugwa kama kashindwa kuielewa hip hop ya j makini atalielewa jahazi la mzee yusuph
Katika wanamuziki wooote Tanzania basi hakuna wasanii wenye maisha mabaya na yasiyoeleweka kama maisha ya wasanii wa hiphop.
Si kwamba muziki wao haupendwi, muziki wao unapendwa sana hasa na vijana(wanaume) lakini kitu kibaya kuhusu huu muziki ni kwamba mashabiki wake wengi hawana pesa, mashabiki wake hawanunui caller tunes, tshirt wala kazi za wasanii hao ambao ni wachache sana wamekuwa wakitoa mixtape.
Ni tofauti sana na wabana pua ambao wao mashabiki zao ni kinadada ambao ndio wanunuzi wakuu wa kazi za wasanii.
Wasanii wa HipHop wanatia huruma sana.kwa kweli, maisha anayoishi Joh Makin yanatisha huwezi hata kumfananisha na Rich Mavoko.
Katika wanamuziki wooote Tanzania basi hakuna wasanii wenye maisha mabaya na yasiyoeleweka kama maisha ya wasanii wa hiphop.
Si kwamba muziki wao haupendwi, muziki wao unapendwa sana hasa na vijana(wanaume) lakini kitu kibaya kuhusu huu muziki ni kwamba mashabiki wake wengi hawana pesa, mashabiki wake hawanunui caller tunes, tshirt wala kazi za wasanii hao ambao ni wachache sana wamekuwa wakitoa mixtape.
Ni tofauti sana na wabana pua ambao wao mashabiki zao ni kinadada ambao ndio wanunuzi wakuu wa kazi za wasanii.
Wasanii wa HipHop wanatia huruma sana.kwa kweli, maisha anayoishi Joh Makin yanatisha huwezi hata kumfananisha na Rich Mavoko.
Si ule unaochanganywa na sembe!unauuza huo!Muziki gani unauza bongo?