Ungetupa mifano halisi kibongo bongo na huko ng'ambo ingeeleweka zaidi otherwise inabaki kuwa brah brah!Hii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.
Taarab za kiume... Msikilize J. Makini, Ney wa mitego Fid Q and so on... Wao ni wao zaidi kuliko wengine, wao ni bora, wao ni super brands etcHii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.
Mshana kaweka mifano hapo. Kwa kuongezea kulikuwa ma bifu la Langa na Jmo wakitupiana maneno. Wakina Joe Makini , Nikki wa pili na wakina Ney wamejaa kuimba vijembe na Kujisifu.Ungetupa mifano halisi kibongo bongo na huko ng'ambo ingeeleweka zaidi otherwise inabaki kuwa brah brah!
Hii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.
Kunadog anaitwa [HASHTAG]#Eduboy[/HASHTAG] anasema "bongo bahat mbaya wakat unalala studio" yaan anajua ad mtu anapolala kwel hphpop n taarabuHii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.
au sioo kwahiyo masihi alikua kwenye Nguzo ipi? maana wanasema HIP HOP inanguzo zakeHip Hop muasisi ni Yesu Kristo sema hawa wa siku hizi wanafanya kijamii zaidi ndio maana wanahip-hop wengi ni wepesi kumsifia mwanamke au mama kuliko baba au kiongozi, hupenda kujisifu au kujinadi kwa maneno ya kubuni ila yesu hakujinadi bali alijitambulisha kwa ukweli tu
Labda free styleau sioo kwahiyo masihi alikua kwenye Nguzo ipi? maana wanasema HIP HOP inanguzo zake