Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Hii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza kwenye bifu la Tupac na BIG walikuwa wanapakana sana maneno. Tofauti ni kuwa kwenye hiphop maneno huwa makali sana. Pia wakati kwenye taarabu watu hujitamba kuchukuliana waume kwenye hiphop wao hujitamba kuchukuliana wake.
Pia wasanii wa taarabu hufuatiliana sana maisha hadi mtu anaimba siri za mwenzake unashangaa amejuaje?. Hivyohivyo kwenye hiphop, kwenye nyimbo za kudis watu hutoleana siri za ndani kabisa.
Hiphop haina tofauti na taarabu.