Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mashairi ya nyimbo za Roma mkatoliki yanafikilisha Sanaa 😊
Ukipata muda zisikilize
Ukipata muda zisikilize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu 😊Hujui lolote kuhusu hiphop [emoji81]
Wewe umeimba nini kwenye game ila flow na uandishi tofauti 🤔🤔Miaka 15 kwenye game Ila flow na uandishi ni ule ule🗑️
Mimi siimbi, Ila hainizuii kujaji wanaoimba.Wewe umeimba nini kwenye game ila flow na uandishi tofauti 🤔🤔
Nikki mbishi kwa uandishi? Huko huko tamaduni hata yule bwana mdogo p the mc hajamzidiRoma anajua ila anachosha kumsikiliza.
Kwa uandishi I can make a case hakuna zaidi ya Nikki Mbishi bongo. Kwa versatility hakuna na hatotokea zaidi ya Ngwea.
True,Nikki mbishi kwa uandishi? Huko huko tamaduni hata yule bwana mdogo p the mc hajamzidi
Kwa uandishi wa niki mbishi hata aimbe miaka 100 Hakuna step atasogea
kuna mstari mmoja wa nikki mbishi kwenye wimbo wa Dhima ya Emcee unasema hiviNikki mbishi kwa uandishi? Huko huko tamaduni hata yule bwana mdogo p the mc hajamzidi
Kwa uandishi wa niki mbishi hata aimbe miaka 100 Hakuna step atasogea
ukiangalia kwenye angle ya sauti, Mantic, ujumbe na mpangilio wa flow ROMA MKATOLIKI yupo vizuri Sana kuwazidi Wana hip hop wengi Sanaaa..Roma anajua ila anachosha kumsikiliza.
Kwa uandishi I can make a case hakuna zaidi ya Nikki Mbishi bongo. Kwa versatility hakuna na hatotokea zaidi ya Ngwea.
Hata hizo zenyewe hazikua hit songs. Play boy ilibebebwa na chorus ya Ben pol. Lakini bado wimbo haukufika mbali na ndio alikua anatoka. Wenzie jiwe la kutokea linakua jiwe kweli, refer kwa darasa - sikati tamaa, stamina - kabwela, Godzilla, roma, young killerTrue,
Nikki Mbishi ana nyimbo nyingi sanaa Ila hit song Ni za kuokoteza mfano play boy , jogoo very few to mention
Anamjua Hadi mauzinde na bado anamuweka kwenye lines, ndio bado analalamika kwa nn nyimbo zake hazifiki mbali. Rapper ni tofauti na waimbaji wengine, uwe na punch haswa na flow za kwendakuna mstari mmoja wa nikki mbishi kwenye wimbo wa Dhima ya Emcee unasema hivi
usiendekeze ushoga mauzinde na siku hizi wala poda kama upinde wana roga we ushindwe
zohan
Mtu akiweza kufanya staili ya hip-hop milazo na akaitendea haki mfano napendaga flow za Baby boy Yule wa zizzou fashion.Wewe umeimba nini kwenye game ila flow na uandishi tofauti 🤔🤔
Na kwel kapewa maua yakeRoma apewe maua yake.
Ni akili kubwa kwa wenye akili ndogoRoma akili kubwa
Mi naona ni mchaguzi mzuri wa topic ya kwenda nayo kulingana na wakati.ukiangalia kwenye angle ya sauti, Mantic, ujumbe na mpangilio wa flow ROMA MKATOLIKI yupo vizuri Sana kuwazidi Wana hip hop wengi Sanaaa..
Flow hapana, ujumbe na mpangilio sawa. Kuwazidi wengi ni kweli maana rappers wapo wengi sanaukiangalia kwenye angle ya sauti, Mantic, ujumbe na mpangilio wa flow ROMA MKATOLIKI yupo vizuri Sana kuwazidi Wana hip hop wengi Sanaaa..