Wasanii wa HipHop Tanzania wana kitu Cha kujifunza kwa Roma Mkatoliki

Wasanii wa HipHop Tanzania wana kitu Cha kujifunza kwa Roma Mkatoliki

Hata hizo zenyewe hazikua hit songs. Play boy ilibebebwa na chorus ya Ben pol. Lakini bado wimbo haukufika mbali na ndio alikua anatoka. Wenzie jiwe la kutokea linakua jiwe kweli, refer kwa darasa - sikati tamaa, stamina - kabwela, Godzilla, roma, young killer
Umenikumbusha Godzilla R.I.P jamaa Ali misuse drugs zikawa zinamwendesha Sanaa
Wana hip hop wengi Wana kili kua Godzilla Ni moja ya ma freestyler wazur kuwai tokea kwenye game ya Muzik bongo Nikki mbishi amewai kusema pia Godzilla alikua jembe
Ogopa kua na jina kubwa alafu mfukoni majalala unajikuta na stress SANAA ndio chanzo Cha kuingia kwenye DRUGS
 
Umenikumbusha Godzilla R.I.P jamaa Ali misuse drugs zikawa zinamwendesha Sanaa
Wana hip hop wengi Wana kili kua Godzilla Ni moja ya ma freestyler wazur kuwai tokea kwenye game ya Muzik bongo Nikki mbishi amewai kusema pia Godzilla alikua jembe
Ogopa kua na jina kubwa alafu mfukoni majalala unajikuta na stress SANAA ndio chanzo Cha kuingia kwenye DRUGS
Yah, alikua vizuri sana kweye free styles na flow zake zilikua ni noma sana. Kifupi alikua anajua sana
 
M

Mashairi ya wanamuziki Roma na Ney wa Mitego yamejaa mafundisho. Mashairi ya wasanii kama Diamond na wengine yamejaa matusi na kutukuza ngono na uvutaji wa bangi.
Ni kweli mkuu tuwape maua yao kwenye Hilo kwa kweli..
 
M

Mashairi ya wanamuziki Roma na Ney wa Mitego yamejaa mafundisho. Mashairi ya wasanii kama Diamond na wengine yamejaa matusi na kutukuza ngono na uvutaji wa bangi.
Ukishajua kazi ya muziki huwezi kumlaumu diamond na kumsifia roma. Muziki kazi yake ni kufundisha na kuburudisha, diamond kachagua kuburudisha na roma kachagua kufundisha
 
Anamjua Hadi mauzinde na bado anamuweka kwenye lines, ndio bado analalamika kwa nn nyimbo zake hazifiki mbali. Rapper ni tofauti na waimbaji wengine, uwe na punch haswa na flow za kwenda
kuna mistari kwenye wimbo huo unasema hivi

Dhima ya emcee ni kuzima ma rap wanajiona wao wagonjwa na bima ya afya hawajakata dhaifu kama wanautapia mlo washazoea kupakatwa kila wanapo wania TuNzo

makahaba wa Rap nawavunjia madanguro mnao Rap kupata nyapu nawachukia fankulo


shairika kibishi
 
kuna mistari kwenye wimbo huo unasema hivi

Dhima ya emcee ni kuzima ma rap wanajiona wao wagonjwa na bima ya afya hawajakata dhaifu kama wanautapia mlo washazoea kupakatwa kila wanapo wania TuNzo

makahaba wa Rap nawavunjia madanguro mnao Rap kupata nyapu nawachukia fankilo


shairika kibishi
Ana madini sanaa sanaa
 
Unazungumzia uandishi wa kufikirisha ama uandishi wa kimatukio???!! uandishi wa kufikrisha huambatana na Sitiari (metaphor), sikumbuki sitiari zozote kutoka kwa Roma, uandishi wake naona ni wa kawaida tu ila unalenga topic zisizo rahisi kuzijadili kwa uhuru kulingana na mazingira ya kisiasa nchini.
 
Unazungumzia uandishi wa kufikirisha ama uandishi wa kimatukio???!! uandishi wa kufikrisha huambatana na Sitiari (metaphor), sikumbuki sitiari zozote kutoka kwa Roma, uandishi wake naona ni wa kawaida tu ila unalenga topic zisizo rahisi kuzijadili kwa uhuru kulingana na mazingira ya kisiasa nchini.
Wakufikirisha mkuu
 
Ukishajua kazi ya muziki huwezi kumlaumu diamond na kumsifia roma. Muziki kazi yake ni kufundisha na kuburudisha, diamond kachagua kuburudisha na roma kachagua kufundisha
Kuburudisha kwa kuhamasisha vijana wavute bangi na ngono zembe? Are you serious mkuu?
 
Back
Top Bottom