vikosi makuruti
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 192
- 68
kwa kweli bado najiuliza,kwamba ni ulimbukeni au ukosefu wa elim,,Zimepita fasion nyingi, lakini.hii ya wanaume kuvaa sketi jamani twende nayo taratibu.nasama hivi kwa sababu juzi tulimshuhudia Diamond platnam. ,msanii ambaye tunasema ni kioo cha jamii akipanda jukwaani akiwa amevaa sketi...
sawa!!! lengo kuleta utofauti,,lakini sio kwa staili hii,,
kumbuka kuwa vijana wa kibongo especially this dot com generation hawaishi kuiga kila kitu wanachofanya mastaa.sasa kama wataiga huu uvaaji wa sketi hamuoni kama ni hatari kwa taifa ambalo ,,TUNAPINGA MAPENZI YA JINSIA MOJA????
kwa kweli bado najiuliza,kwamba ni ulimbukeni au ukosefu wa elim,,Zimepita fasion nyingi, lakini.hii ya wanaume kuvaa sketi jamani twende nayo taratibu.nasama hivi kwa sababu juzi tulimshuhudia Diamond platnam. ,msanii ambaye tunasema ni kioo cha jamii akipanda jukwaani akiwa amevaa sketi...
sawa!!! lengo kuleta utofauti,,lakini sio kwa staili hii,,
kumbuka kuwa vijana wa kibongo especially this dot com generation hawaishi kuiga kila kitu wanachofanya mastaa.sasa kama wataiga huu uvaaji wa sketi hamuoni kama ni hatari kwa taifa ambalo ,,TUNAPINGA MAPENZI YA JINSIA MOJA????