vikosi makuruti
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 192
- 68
kwa kweli bado najiuliza,kwamba ni ulimbukeni au ukosefu wa elimu? Zimepita fasheni nyingi, lakini hii ya wanaume kuvaa sketi jamani twende nayo taratibu. Nasema hivi kwa sababu juzi tulimshuhudia Diamond Platnam, msanii ambaye tunasema ni kioo cha jamii akipanda jukwaani akiwa amevaa sketi.
Sawa lengo kuleta utofauti lakini sio kwa staili hii, kumbuka kuwa vijana wa kibongo especially this dot com generation hawaishi kuiga kila kitu wanachofanya mastaa. Sasa kama wataiga huu uvaaji wa sketi hamuoni kama ni hatari kwa taifa ambalo tunapinga mapenzi ya jinsia moja?
Sawa lengo kuleta utofauti lakini sio kwa staili hii, kumbuka kuwa vijana wa kibongo especially this dot com generation hawaishi kuiga kila kitu wanachofanya mastaa. Sasa kama wataiga huu uvaaji wa sketi hamuoni kama ni hatari kwa taifa ambalo tunapinga mapenzi ya jinsia moja?