Wasanii wa kike wote waliotoka wako na skendo za picha za ngono/ video za ngono na serikali inafumbia macho

Wasanii wa kike wote waliotoka wako na skendo za picha za ngono/ video za ngono na serikali inafumbia macho

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
• WemaSepetu
• Aunt Ezekiel
• Nandy
• Lulu diva
• Amber lulu
• Amber Ruty
• Gigy money
• Divadeboss
• Jackline Wolper
• .......
📌 Msanii ni kioo cha jamii, ila sio kwa sanaa ya kipindi hichi aisee. Asilimia kubwa wasanii wengi wanapotosha jamii na kwakuwa wao ni maarufu ndo kizazi kinazidi kuaribika .kwa vitendo vyao mnaona ni sahihi kabisa kuendelea .

📌Watangazaji/waandishi nao wameshindwa kufanya kazi yao kwa uheledi mwisho wa siku ndo kama hivi vitoto vya filauni.

📌 Jamii nayo imejikeep bize kusaka tonge, kulala njaa kwa siku moja kuiokoa jamii imeona kama miaka 10 kumbe jamii inatakiwa kujirudi maana maisha sisi ndo tunayapeleka kasi.

📌 Walimu , walimu maadili hakuna jinsi ya kufundishi hawajui wameishia kupiga watoto ndo imekuwa jukumu...

......... Ngono imekuwa fulsa kwa Wasanii na watu fulani kuzidi kujiongezea umaarafu na watu wakazidi kuwafuatilia, Tanzania tupo na ujinga wa kusapoti upuuzi kuliko kusapoti mambo ya msingi.

👤. Ukionekana uko na maono we mjuaji 😁😁😁 haya twende tu tutafika.......
...
Asante napenda kuwasilisha.....
....
 
Tanzania ina lundo la watu wenye mitazamo hasi kama wewe Hemedy jr Junior mkuu...

Serikali ifuatilie bei za vyakula,bidhaa,ushoga,maendeleo,elimu,mikopo na hawa wanaojirekodi kwa faida zao,hebu ipumzisheni serikali ifanye kazi za msingi..

Kama wanaharibu maadili hiyo ni kazi yako wewe mzazi kumfunza mwanao..
 
Video ya Wema ushawahi Iona?Zaidi ya Ile anakula romance na Pck mwehu?au Ile ampepiga wamekumbatiana chooni?
Aunty nae ipi?
Wolper nae ipi?
ACHA kuwachafua bwana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
• WemaSepetu
• Aunt Ezekiel
• Nandy
• Lulu diva
• Amber lulu
• Amber Ruty
• Gigy money
• Divadeboss
• Jackline Wolper
• .......
📌 Msanii ni kioo cha jamii, ila sio kwa sanaa ya kipindi hichi aisee. Asilimia kubwa wasanii wengi wanapotosha jamii na kwakuwa wao ni maarufu ndo kizazi kinazidi kuaribika .kwa vitendo vyao mnaona ni sahihi kabisa kuendelea .

📌Watangazaji/waandishi nao wameshindwa kufanya kazi yao kwa uheledi mwisho wa siku ndo kama hivi vitoto vya filauni.

📌 Jamii nayo imejikeep bize kusaka tonge, kulala njaa kwa siku moja kuiokoa jamii imeona kama miaka 10 kumbe jamii inatakiwa kujirudi maana maisha sisi ndo tunayapeleka kasi.

📌 Walimu , walimu maadili hakuna jinsi ya kufundishi hawajui wameishia kupiga watoto ndo imekuwa jukumu...

......... Ngono imekuwa fulsa kwa Wasanii na watu fulani kuzidi kujiongezea umaarafu na watu wakazidi kuwafuatilia, Tanzania tupo na ujinga wa kusapoti upuuzi kuliko kusapoti mambo ya msingi.

👤. Ukionekana uko na maono we mjuaji 😁😁😁 haya twende tu tutafika.......
...
Asante napenda kuwasilisha.....
....
Hapo pa walimu kushindwa kufundisha umebugi bro!
Wewe ni nani hata uwa-assess walimu wetu pendwa nchini?
Yaani ukurupuke huko unakochoma mkaa milimani uje uwatukane walimu?
Fala sana wewe. Ukome kabisa kuchezea taaluma za watu.
Mbona kila siku wafu wanajazwa mortuary na madakitari hawasemwi kuwa kazi wameshindwa?

Kenge wewe.
 
Back
Top Bottom