desmond JJ Member Joined Jul 6, 2012 Posts 55 Reaction score 27 Jun 18, 2014 #1 Wadau nimepata shida kuchambua mchango wa wasanii wa bongofleva katika maendeleo ya ushairi wa kiswahili, Katika nyanja za kimaudhui, na hata fani yake. Je umeongeza mambo mapya katika ushairi wetu wa kiswahili? Msaada tutani tafadhali
Wadau nimepata shida kuchambua mchango wa wasanii wa bongofleva katika maendeleo ya ushairi wa kiswahili, Katika nyanja za kimaudhui, na hata fani yake. Je umeongeza mambo mapya katika ushairi wetu wa kiswahili? Msaada tutani tafadhali