Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Wasanii wa Bongo Flava Mabantu waendelea kuchafua tasnia ya Muziki wa Bongo Flava kwa kutengeneza maudhui yasiyofaa katika jamii
Wasanii hawa wanaendelea kutengeneza maudhui machafu yanayozidi kusambaratisha maadili ya Watanzania na Waafrika kwa ujumla kwa kupandikiza vishawishi vya ngono vitakavyotumbukiza vijana kwenye matatizo makubwa ikiwemo zinaa na kadhalika
Tazama video ya Wasanii hawa walipokuwa wakishoot
Wasanii hawa wanaendelea kutengeneza maudhui machafu yanayozidi kusambaratisha maadili ya Watanzania na Waafrika kwa ujumla kwa kupandikiza vishawishi vya ngono vitakavyotumbukiza vijana kwenye matatizo makubwa ikiwemo zinaa na kadhalika
Tazama video ya Wasanii hawa walipokuwa wakishoot