incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
- Thread starter
-
- #21
Mkubwa hata wao wenyewe wakiskia unawafananisha na watz watakushangaa maana hatulingani,hata Otile brown kwa uimbaj wake angekuwa bongo angekuwa msanii wakawaida tu ila kule Hana mpinzanMajamaa ni mafundi sana ngoja nikuwekee pini zingine za Echo
Ngoja nimtafteKuna jamaa wa Mombasa anaitwa iddy Singer ni noma
Weka hapa pini yake mojaKuna jamaa wa Mombasa anaitwa iddy Singer ni noma
Wanajua sana hawa jamaaInawezekana wako vizuri lakini sio lazima wawe kuliko wa Tanzania.
Wanajua sana hawa jamaa
Unaweza Kuta hata wao wanajitahidi kuwaiga watz afu ndio uwafananishe naoHata kama wanajua, huwezi kusema kuliko wasanii wa TZ. Wrong.
Wanajitahidi Sana wamekosa tu promoMkuu nimeziskiliza vizuri,kwanza kuhusu uandishi ni wazi watu wa Mombasa wanawazidi wa Nairobi sababu wao wanajua kiswahili vzuri maana ukumbuke hao ni watanzania kabisa ila ni mambo ya mipaka tu na wakiloloni,ila kuhusu kuwafikia watanzania hapana Bado sana tena sana,huyo Otile brown tu hamuwezi hata da prince .