Wasanii wa Pwani ya Mombasa Kenya wana uwezo kuliko wasanii wa Tanzania, tatizo hawana platform

Afu mimi ni Pure Tanzanian mkuu sema nafuatilia mziki mziri pande zote za dunia. Hao washikaji nilioandika hapo ni visanga wanajua sana
 
Inawezekana wako vizuri lakini sio lazima wawe kuliko wa Tanzania.
 
2
Wanajitahidi Sana wamekosa tu promo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…