We nae Acha ku complicate maisha!kwa Uzungu gani ulionao?kazi kubeza vya kwenu kutukuza vya wenzenuhivi bado tu mnaangalia hizo takataka?
na kama umestaafu, ni ishara ya kufirisika kifedha na kimawazo.
hizo ni za mabeki tatu na mashangingi ya mjini.
kuna siku nilishuka kwenye basi za mkoani kwa sababu ya kuweka muzi za kiswahili.
Sema baadhi ya za kiswahili sio zote,mbona wapo wanaojitahidi pia kiswahili kinatambulika kama lugha kimataifa na kuna watu wanaishi vizuri tu kwa sababu ya kiswahili?hivi bado tu mnaangalia hizo takataka?
na kama umestaafu, ni ishara ya kufirisika kifedha na kimawazo.
hizo ni za mabeki tatu na mashangingi ya mjini.
kuna siku nilishuka kwenye basi za mkoani kwa sababu ya kuweka muzi za kiswahili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nampenda mwadawa na tukae.Ndio mkuu ukisikiliza kale ka wimbo ka mwisho muimbaji kawataja.......Siwa na Mwadawa....Chiku, Hamadi na Tukae.....Kobisi ndio kaka wa familia ila ndo shida utajionea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahhivi bado tu mnaangalia hizo takataka?
na kama umestaafu, ni ishara ya kufirisika kifedha na kimawazo.
hizo ni za mabeki tatu na mashangingi ya mjini.
kuna siku nilishuka kwenye basi za mkoani kwa sababu ya kuweka muzi za kiswahili.
Hatumii Karanga yule?Kuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Karanga hizi hizi tunanunua sokoni au zipi[emoji849]?Hatumii Karanga yule?
Karanga toka wafadhiliKaranga hizi hizi tunanunua sokoni au zipi[emoji849]?
Wellu Ana overactKuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Havihusiani hata kidogoNiambie, ni sawa kwa kusema 'barabara ya Morogoro road?'.
Ni mke wa steve nyerere mzee wa pua puaaa puaa poor poor poor puwa puwa kabisa[emoji2]Kweli kabisa. Nimemsikia jana akijitetea kufanya hivo, hana hoja anajichanganyachanganya tu.
AnatafsiriAnaweza kusema" NOOOOO"
halafu akaongeza " HAPANA"
sasa najiuliza haya maneno Yana maana 2 tofauti?