Wasanii wa Tanzania jifunzeni kutoka kwa msanii Genevieve wa Nigeria

Huyu dada alivuma sana kipindi kile cha ujana wake kwa michezo 0713 .....
 
Mbona ata Wema sepedele kauza sana copies za ela ote dingilae kwenye movie yake na Van vicker ila hapendagi Show Off


Wema si kama hapendi show off it's because hana hizo hela unazohisi wewe anazo....she's dead broke and living a damn fake life. Yeye ni mtu wa mizinga tu, siku zote....hana hili wala lile na ndiyo maana wenzake wanamcheka tu.
 
Huwezi amini lile Punga lililosema linakuwa jeupe sababu ya kunywa maji asa ivi amerudia Rangi yake ya asili..asa sijui amekunywa nini tena.
 

We jamaa wewe, Mbona Tanzania Sweetheart katembea na wengi na hajasogea popote.
Hapa tunaangalia ubora wakazi na sio maisha yake .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…