Mkuu huujui mwandiko wa Uwoya kwani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu ndo naona leo hapa[emoji23][emoji23]Mkuu huujui mwandiko wa Uwoya kwani!?
Mbona ata Wema sepedele kauza sana copies za ela ote dingilae kwenye movie yake na Van vicker ila hapendagi Show Off
Black is beautyView attachment 992409
Genevieve Nnaji has become Nollywood’s first Billionaire as Netflix reportedly buys her movie LionHeart for $3.8million (N1,051,297,231).
Historic. 🇳🇬
Huwezi amini lile Punga lililosema linakuwa jeupe sababu ya kunywa maji asa ivi amerudia Rangi yake ya asili..asa sijui amekunywa nini tena.Hajajichubua wala kujiwekea mapambo ya kimalaya kama hawa bongo muvi wanaibadilika rangi kila mwaka, tafuta picha za miaka kumi iliyopita za bongo muvi wote waume kwa wake wamekua weupe, kuna yule punga alijitetea eti kisa anakunywa sana maji utasema genevive hanywi maji!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiona ni filamu iliyoandaliwa kifundi sana. Hongera zake.
Acha uboya wewe huyo ni Mtanzania? (ana mabwana wangapi na mmojawapo katembelea TZ)
ninyi ndio mnakuja kukataa kabila lako, unamkataa mzazi wako utaifa wako ili kujikweza
unaikataa Nchi yako unasifia Timu ya mpira ya nchi nyingine mavazi na hata akili
kwanini huo uzalendo usiwaletee wasanii wetu
mm nimekuambia angalia na upande wa pili wa huyo Dada hata km ana maendeleo ametembea na wangapi hata mume aliyezaa naye hamjui unona ni sifa zungumzia na wasanii wetu wafikie huko MSIWALAUMU