Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #21
Inabidi tuwa unfollow kabisa nakuwatwanga block Kila sehemWasanii wa serikali hao. Hawawezi kuyaona madhila ya wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi tuwa unfollow kabisa nakuwatwanga block Kila sehemWasanii wa serikali hao. Hawawezi kuyaona madhila ya wananchi
😂😂😂😂Huna wasanii, una jumuiko la chawa
Nadhani hatuna wasanii, tuna matahila tuWasanii wameshindwa hadi na wabeba mizigo makambako
Sija follow msanii yoyote mwenye akili za kisenge, Feeds zimejaa contents za sports na mambo mengine ila haya machawa mamaae wata subscribe wasukuma tuu😂😂😂Inabidi tuwa unfollow kabisa nakuwatwanga block Kila sehem
Conflict yangu ni constructive sio ww mpumbavu Unawaza kuwa chawa wa maccmNaona Leo umewapumzisha walimu umehamia kwa wasanii...brain Yako huwa inawaza conflict TU ..Huwa haiwazi upande mwingine mzuri
UCHAWA inasababishwa na NJAA!Hawa wenzetu wanajionaga wapo tofaut na sisi au? Yani wao wana ulimwengu wao wa kuishi ni kama wametutenga Ila sisi jamii ndo tunajipendekeza kwao
Kwasababu wao wakiumwa hutaskia Samia wala spika kuwachangia Ila wanakuja kwetu walalahoi kutembeza vibakuli tuwachangia, watu wanaotekwa tunapaza sauti sisi tu wao ni kuslide tu kama hawaoni vile
Ni tofauti na nchi zingine kama Kenya, Uganda, marekani, Canada na nchi zote za ulaya. Hii misanii yetu niyahovyo haina akili yapo kama mazuzu, matahila Hayajitambui. Shez zao
Nchi za wenzetu leo headline ya vyombo vyote vya habar ingekuwa ni mambo ya utekaji tuuWanafki sana, Kwenye issue ya maandamano kenya kila "msanii mpumbavu" alionekana kuguswa na kupost
Ila kwa mambo ya hapa nyumbani yanakuwa majinga tuu.
Hata media za bongo nazo ujinga mtupu kabisa mtu anapata airrtime anaanza kunadi na kujibizana vitu ambavyo kwa nchi za wenzetu hata burundi tuu wanatushangaa
Wasukuma 😂😂😂😂Sija follow msanii yoyote mwenye akili za kisenge, Feeds zimejaa contents za sports na mambo mengine ila haya machawa mamaae wata subscribe wasukuma tuu😂😂😂
Hawajaguswa kabisaa.Inabidi tuwa unfollow kabisa nakuwatwanga block Kila sehem
Wasanii wengi tz wakiongozwa na huyo namba 1 wao na wengine wengi tktk tuWasanii wameshindwa hadi na wabeba mizigo makambako
Wapuz sanaHawajaguswa kabisaa.
Wapo bize kwenye ziara za mama nje ya nchi.
wasanii wengi ni wapuuzi wachumia tumbo
Mengi form four failure na la saba failure unategemea nnSaaana, haya majama akili hayana
Ww uliyefaulu mbona hujatoboa maisha sasa?Mengi form four failure na la saba failure unategemea nn
Wamekuwa machawa,Wasanii wa Tanzania mbona hawakemei utekaji na mauwaji yanayoendelea nchini?
Watekaji wenyewe ndio ukute hao hao wasanii.. huwezi juaHawa wenzetu wanajionaga wapo tofauti na sisi au? Yani wao wana ulimwengu wao wa kuishi ni kama wametutenga Ila sisi jamii ndo tunajipendekeza kwao.
Kwasababu wao wakiumwa hutaskia Samia wala spika kuwachangia Ila wanakuja kwetu walalahoi kutembeza vibakuli tuwachangia, watu wanaotekwa tunapaza sauti sisi tu wao ni kuslide tu kama hawaoni vile.
Ni tofauti na nchi zingine kama Kenya, Uganda, Marekani, Canada na nchi zote za ulaya. Hii misanii yetu ni ya ovyo haina akili yapo kama mazuzu, matahila Hayajitambui.