Pre GE2025 Wasanii wa Tanzania mbona hawakemei utekaji na mauaji yanayoendelea nchini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
UCHAWA inasababishwa na NJAA!
USIWALAUMU!
 
Nchi za wenzetu leo headline ya vyombo vyote vya habar ingekuwa ni mambo ya utekaji tuu
 
Wanasubiri upepo kwanza, mwaka ujao ni mwaka wa kupiga pesa kwenye kampeni, akikaa vibaya atapishana na gari ya mshahara.
 
Watekaji wenyewe ndio ukute hao hao wasanii.. huwezi jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…