Wasanii wa Tanzania msione aibu kumtumia Kenny wa Zoom Production ku-shoot video zenu, eti kwa kuwa kampuni inamilikwa na Diamond !

Huyo anataka ligi ya kubishana ,achana nae,hao ndio wale Dada Mange Kasema.
 
Kuna dogo anaitwa Lucca Swahili ni tatizo
 
Mimi mwenyewe najua vizuri vyombo vyote alinunua Diamond SA,naona unataka ligi ngoja tuanze.

Ohooo!!.. 🤣🤣 Hizi ID fake zinafanya mpaka mtu utamani anayekubishia akujue hili aamini unachosema.

Haya baki na unavyoamini.
 
Huyo anataka ligi ya kubishana ,achana nae,hao ndio wale Dada Mange Kasema.

Hakuna aliyesema Diamond hana uwezo wa kumiliki Hiyo Production house.

Ninachokisema ni mmiliki halali 🤣 Mmiliki halali wa Zoom ni Harmonize baada ya kuwezeshwa na mkewe.
 
Okay basi body spray fyn by falsafa ni ya diamond manake umekariri watu wasanii wengine hawawezi fanya kitu
Umedandia treni kwa mbele ndugu yangu,hebu anzia mwanzo nilipoanza kubishana na huyo jamaa,yaani umekurupuka.
 
Naijua vizuri sana Zoom...Vyombo vyote hivyo Camera na vinginevyo Harmonize amepewa na mwanamke wake wa kizungu.

Kapewa pia vyombo vya band na studio ya muziki huyo Harmonize yupo vizuri sana.

Siyo kukremisha najua vizuri ninachosema.
Dah... aisee! Basi kweli Diamond ni mzee wa kiki! Yaani kampuni ya Harmonize halafu Diamond anaitangazia dunia kwamba yeye ndie Founder & Managing Director wa Zoom Production Company huku Harmo mwenyewe kanyuti tu!!!

Kwahiyo Diamond kaajiriwa na Harmonize sio?! Manake Mondi keshawahi kuipigia promo Zoom lakini sijawahi kuona mmiliki Harmonize akiipigia Zoom promo!!

Maisha bhana; yaani kutoka kuwa muuza mitumba ya jero jero na kahawa hadi kumtuma mtu aliyekuwa bosi wako miaka 2 tu iliyopita!!!
 
Okay basi body spray fyn by falsafa ni ya diamond manake umekariri watu wasanii wengine hawawezi fanya kitu
Body spray hiyo ni ya Mwana Fa sababu yeye mwenyewe Fa amesema yake na vile vile Zoom ni ya Mond sababu yy mwenyewe kaandika kwenye page yake ni MD, mbona simple au kama upo BRELA basi tuwekee Documents.
 
Hanscana kazingua sana kazi ya Maua Sama ya - Iokote ,yaani kafanya mavongovongo kibao,location mbovu,waliomfanyia make up Maua Sama wamemuharibu,upande wa mavazi Maua sama na wenzake walivaa hovyo hovyo.
Maua sama hajawahi kujua kuvaa zaidi amezoea kuvaa mashela ya harusi tu.
 
Watu MNA data za kufatilia watu wengine duuuuh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] au we ndio nisher nini[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu MNA data za kufatilia watu wengine duuuuh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] au we ndio nisher nini[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Matukio yametokea nikiwa naona na nina ufahamu. Ni sawa na baba yako anapozungumzia unga wa Yanga enzi za 70's halafu uanze kusema baba ana data za kufuatilia ya watu.
 
Kenny naona ilikuwa nguvu ya Soda.

Ubunifu Umekwisha.

Siku hizi anashoot bora liende.

Video Kama Kainama Feat Ipupa kaacha Margin Nyeusi.

Yope Ndio Kabisaa, Low Quality.

Kiukweli kwa sasa Tanzania tuna washika Kamera tu.

Hanscana na Kwetu Studio Wameboresha Vifaa ila EDITING na UFUNDI bado hauna jipya.
 
Kalaghe video zake zilikuwa zina taste inafanana we video zote indoor na ma rangi rangi lazima ilikuwa zichokwe sema yeye alipoona game linachange akwa amepata deal sijui na shirika gani ya kutengeneza documentary.
Well said mkuu.
Naliona kosa kama hilo kwenye video za Nisher, na huyu Kenny wa Zoom Production.

Kenny anapenda sana rangi flani kwenye background ya vitaa kama vya x-mass au disco light kama hivyo kwenye wimbo wa Lava Lava.
Kenny kama hajaweka taa nilizosema ataweka mwanga au iite mionzi inayopita kwenye mabati meusi.
Amerudia sana hizo pattern kwenye video production zake.
Pia anapenda sana kuweka indoor played scenes.

Nisher alikuwa anapenda kuchoma matairi na kuwasha moto kwenye mapipa na dark /black background.
Nisher alikuwa anapenda sana indoor scenes au night mode scenes.

Mwisho wa siku Kenny anaweza kuchokwa kama hatabadili ubunifu wake.
So far so good hana mshindani bongo, yupo another level. Mwanzo nilidhania jamaa wa nje kama SA hivi kumbe ni local tu.
 
Kenny anajitahidi sana na atamwangusha hanscana si muda mrefu nisher bana sijui pepo gani lilimkumba yule dogo alikua vizuri sana natamani arudi kwenye peak na afanyie video nje ya tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…