muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Habarini za wasaa huu, napanda jukwaa hill nikiwa na kero kubwa juu ya hawa wahuni wanaojiita wasanii Wa Tanzania
Nimeunganisha dots nikaibuka na conclusion kwamba 80% yw wasanii Wa TZ ni wapumbavu na malimbukeni
Wasanii hawa wanachafua taswira ya Sana'a mpaka inaonekana ni kazi ya kihuni
Tuachane na hayo mengine naomba Leo niongelee swala la ulimbukeni Wa fedha na kujifanya wana fedha sana
Imekua fasheni siku hizi hawa ma celebrity wetu wanajifanya wana hela sana kumbe ni makapuku wananuka vumbi tuu wakati Wa matatizo wanaanza kulialia bila aibu tuwachangie fedha mbw* wakubwa hawa
Wasanii wanajinasibu wanavaa Vito vya thamani kubwa sana utaskia cheni inathamani ya shilingi milioni moja,
Kuna msanii wa aliwai kusema amemhonga mpenzi wake SAA ya shilingi milioni hamsini, hivi kweli hawa watu kichwani kuna kitu kweli?
Kuna watu wanalalamika kitendo cha soudy brown na Maua sama kukamatwa kwa kosa la kuchezea pesa
Mimi kwa upande wangu naomba jeshi la polisi mzidi kuwashikilia hao malimbukeni mpaka watakapopata adabu
Hongereni sana jeshi la polisi na endeleeni kuwashikilia na msiwape dhamana ikibidi washikiliwe mwaka mzima
Hivi visanii vinajifanya kuwa na pesa sana vikipata matatizo vinaomba misaada kwa watanzania pumbavu kabisa
Mweshmiwa mwakyembe hawa wasanii Sio Wa kuchangia pesa hata mia waache wapambambane na halo zao
Juzi nimemsikia queen darlin anajinasibu kwamba nguo alizovaa gharama yake hata siku zetu haziingii,
Diva the bawse anajinasibu anapanga nyumba na analipa USD nyingi tu kwa mwezi, diva anajinasibu hawezi kuolewa na mwanaume asiye na mahali ya milioni 500 halafu diva huyuhuyu anaomba watanzania tumchangie pesa kapandikizwa mbegu, hivi huyu Dada kweli zinamtosha kichwani?
Rayvanny msanii Wa juzi tu saivi anaanza kupost video anafagia hela kana kwamba yeye anapesa nyingi mno halafu jitu kama hili baade lije kuomba msaada
Jeshi la.polisi
Naomba mkamate wote wanaodhalilisha pesa za Tanzania kuanza na diamond na kijakazi wake rayvanny na wengnine wengi tu
Mweshmiwa kangi Lugola a.k.a Ninja tunaomba sana hawa wote waliojirekodi wakifagia na kuchezea pesa tunaomba muwafanyie kitu wawe sampo ili watanzania wengine waone mfano kwao.
Nimeunganisha dots nikaibuka na conclusion kwamba 80% yw wasanii Wa TZ ni wapumbavu na malimbukeni
Wasanii hawa wanachafua taswira ya Sana'a mpaka inaonekana ni kazi ya kihuni
Tuachane na hayo mengine naomba Leo niongelee swala la ulimbukeni Wa fedha na kujifanya wana fedha sana
Imekua fasheni siku hizi hawa ma celebrity wetu wanajifanya wana hela sana kumbe ni makapuku wananuka vumbi tuu wakati Wa matatizo wanaanza kulialia bila aibu tuwachangie fedha mbw* wakubwa hawa
Wasanii wanajinasibu wanavaa Vito vya thamani kubwa sana utaskia cheni inathamani ya shilingi milioni moja,
Kuna msanii wa aliwai kusema amemhonga mpenzi wake SAA ya shilingi milioni hamsini, hivi kweli hawa watu kichwani kuna kitu kweli?
Kuna watu wanalalamika kitendo cha soudy brown na Maua sama kukamatwa kwa kosa la kuchezea pesa
Mimi kwa upande wangu naomba jeshi la polisi mzidi kuwashikilia hao malimbukeni mpaka watakapopata adabu
Hongereni sana jeshi la polisi na endeleeni kuwashikilia na msiwape dhamana ikibidi washikiliwe mwaka mzima
Hivi visanii vinajifanya kuwa na pesa sana vikipata matatizo vinaomba misaada kwa watanzania pumbavu kabisa
Mweshmiwa mwakyembe hawa wasanii Sio Wa kuchangia pesa hata mia waache wapambambane na halo zao
Juzi nimemsikia queen darlin anajinasibu kwamba nguo alizovaa gharama yake hata siku zetu haziingii,
Diva the bawse anajinasibu anapanga nyumba na analipa USD nyingi tu kwa mwezi, diva anajinasibu hawezi kuolewa na mwanaume asiye na mahali ya milioni 500 halafu diva huyuhuyu anaomba watanzania tumchangie pesa kapandikizwa mbegu, hivi huyu Dada kweli zinamtosha kichwani?
Rayvanny msanii Wa juzi tu saivi anaanza kupost video anafagia hela kana kwamba yeye anapesa nyingi mno halafu jitu kama hili baade lije kuomba msaada
Jeshi la.polisi
Naomba mkamate wote wanaodhalilisha pesa za Tanzania kuanza na diamond na kijakazi wake rayvanny na wengnine wengi tu
Mweshmiwa kangi Lugola a.k.a Ninja tunaomba sana hawa wote waliojirekodi wakifagia na kuchezea pesa tunaomba muwafanyie kitu wawe sampo ili watanzania wengine waone mfano kwao.