Wasanii wa Tanzania ni malimbukeni na sitakuja kusaidia hata mmoja!

Wasanii Wa mbele pesa wanayo kweli sio hawa wasanii uchwara Wa bongo
Huwezi ukasikia lily Wayne anaomba achangiwe fedha akatibiwe

Usifananishe nchi tajiri na masikini, nchi ya lil wayne wako hawaombi msaada ndio mana hata msanii haombi nchi ya soud na maua ni ya maomba omba msaada ndio maana na wao wakiumwa wanaomba
Punguza chuki na matusi jela sio sehemu nzuri kumuombea mwenzio abaki na aingie huko kama nzuri mpeleke mwanao akakae huko
Hao viongozi wangefatilia miradi ya maendeleo na sio kushinda social media kuuza sura na kuangalia soudy kapost nini leo
 
Mkuu una nyimbo kwenye simu yako? Kama unazo ulizipataje? Tuanze kujadili hapa kwanza.
 
True✔✔
 
Ndio maana unapokua kazini kama wewe ni msanii igiza kwa scene unayoifanyia kazi, nje ya usanii jiweke kwenye maisha yako halisi ili watu wakuelewe. tatizo mademu wanajipaisha ili wapate mabuzi yenye hela, na mabishoo yanajipaisha ili yapate mademu wenye chati. Huku hawajui kwamba wabongo wote ni wasanii mpaka mtoto mdogo. Mimi kwa kweli hawa wasanii nitaendelea kufumua mpaka akili ziwakae sawa...!!! Na nitawaacha endapo tu akili zitawakaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…