Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Baada ya kusema hivyo, jeneza la mama Sugu liligoma kunyanyuliwa?You people of today,ni nani kawaloga na vijimawazo vyenu hivyo?Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
asanii wemgi wako ccm wanamwogopa mkulubangaKwani nao wameogopa kwenda? Ishu ya wasanii ni kweli kabisa
Jr[emoji769]
wengi wetu tumetengwa na rangi Sina hakika kama ni itikadi maana kama ni itikadi basi ccm ina itikadi zakiduguUnaelewa maana kupandikiza chuki ?
Ukiweza kung'amua hilo nitag nije nikueleze kwanini hawajahudhuria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba sugu ni mbunge wa mbeya mjini, na hakuna jimbo LA wasanii, pia km wao wasanii walipenda kutetea na sugu wasingeenda kuomba kura kwa mpinzani wa sugu au process J.Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
Inabidi kujiuliza maswali..kwa hulka ya binadam huwa tuna ile tabia ya kushirikiana na wale wanaotufariji kwenye misiba yetu pia.Wadau.
Roho imeniuma sana yani kama imefika hatua mpaka watu wanaogopa kwenda kwenye misiba ya wapinzani eti kisa wanamuogopa mtu mmoja.
Ubaguzi wa kiitikadi unalitafuna taifa letu tusipokemea itafika mahali mtu atakuta mtu ambae sio wa chama chake kapata ajali atashindwa kumsaidia
Yani sugu pamoja na heshima aliyonayo kwenye mziki wa bongo flavor leo kafiwa na mzazi mmeshindwa hata kwenda msibani
Asante suma G, Kala Jeremiah, papi choka na Nguza Viking kwa kushiriki ibada ya kumuombea mama yetu
Nasema kuna maisha baada ya unafiki.
mr mkiki
View attachment 849586
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nakuona kama tope, tena bila samahani.
Get lost!Watu hamweleweki mnataka nini, kukufananisha na mtu unayemtetea kila siku humu unakasirika mpaka umenifananisha na tope !!!
Anyway I didn’t mean any offense, kama hupendi kufanana naye siyo ishu.
We ni Ku au M..ndu?
We ni mwanamke wa dar maeneo gani?We ni mwanaume wa Dar sehemu gani?
Kwani mngeenda mngemsaidia nini? Na hamkwenda kapungukiwa na nini??Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
alikuwa sasa sana kuwajibu hivyo.Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
Mjibee bee sasa mnalaumu nini sisi kutoonekana kwa Mr 2Kwani ni uongo? Ndio, yeye ni mbunge wa wanambeya. Nyie wasanii kipindi cha campaign hamjaligi hali zenu mnajali mshiko wa campaign mnapita mkiipigia CCM campaign, halafu mnataka Sugu akawatetee mbele ya watu mliowachagua wenyewe kwa mapenzi yenu. Mfyuuu, tumieni akili.