Wasanii wa Tz Wanachezea sana pesa ila wakiumwa kidogo tu wanaomba tuwachangie wakatibiwe INDIA

Hivi wakiugua huwa wanachangishiana kama ambavyo wanafanya kwenye sherehe mbalimbali...
 


Ndio wayakamate hayo madanga vizuri yawajengee walau chumba na sebule... waige mfano wa Masogange....

#Period
 
Juzi nimeona ile midola ya Diamond kwenda kwa Zamaradi, sema jamaa kajipanga sio rahisi kutuchangisha hela za kutibu tezidume
 
Hivi kumbe hua mnawachangia?? hahaha Moyo huo nimenyimwa aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…