'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine


Kwaiyo hemed phd na baba diamond kwel hapo umepuyanga kwenye list yako
 
Mbona Lulu hayupo kwenye list?
 
Na Ebitoke je ...
Au umemkubali ile kukaa uchi?
 
Hemed PhD Anajua sana kuimba wewe utakuwa mtu wa nyegezi huwezi muelewa PhD
 
Bob Junior na dogo nay wanajua kweli hemedi hajui
 
Hamisa aige mfano wa zari ...aliingia kwenye industry ya muziki ......akajionea Mambo meusi akaacha na kubaki na kipaji chake Cha kufyatua watoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah country boy ??????? Duuh mpaka mzeee was tokomeza zero piaaa hauko serious bro
 
Hapo kwa Hemed PHD Hapana jamaa anajua sana kuimba labda haujamfatilia vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…