'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Bonta angefaa zaidi kama kama angekua mtunzi wa vitabu tu na country boy uwezo umeisha anaimba madudu saiv
Daaah country boy ??????? Duuh mpaka mzeee was tokomeza zero piaaa hauko serious bro
 
Hapo kwa HEMED tutabishana mpaka pakuche unless otherwise hufuatilii muziki wewe... unataka kuniambia Rudi ya Hemed, Imebaki story kwako ni sawa na madam hero ya Hamisa??
 
Una umri gani!??
Hapo kwa HEMED tutabishana mpaka pakuche unless otherwise hufuatilii muziki wewe... unataka kuniambia Rudi ya Hemed, Imebaki story kwako ni sawa na madam hero ya Hamisa??
 
Kazania masomo basi kwanza!!

Utauelewa mziki baadae.
Kwahyo unanilazimisha niamini unachotaka wewe, sio? Alafu usidhani kila unayemquote ni mdogo wako, hatujuani ndugu. Baki na unachokiamini wewe na sijakulazimisha ubebe yangu.
 
Kwahyo unanilazimisha niamini unachotaka wewe, sio? Alafu usidhani kila unayemquote ni mdogo wako, hatujuani ndugu. Baki na unachokiamini wewe na sijakulazimisha ubebe yangu.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Chuki binafsi
 
Mchomvu ni msanii mkali sana ila kinachofanya watu mumuone wa kawaida ni mnamsikia Jumatatu hadi Ijumaa kwenye xxl..kwahiyo sauti yake ishazoeleka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…