Duuh huyu nae anaimba? Biashara ya nyapu imebuma?Kuna na yule Official lynn cjui.. Aende akakune nazi!!
Haaa ni cjakataa uwezo wa matonya hapo zamani je kwa saivi anaimba nn bora aache tuuuWanajua bwana, wengine hao naweza kukuelewa ila sio Matonya. Utakuwa umezaliwa karibuni ila enzi zetu zile Matonya ndio alikuwa Dai wa sasa
Kuna kuimba na kupiga kelele ney anaimba nini kama sio kelele tuKwamba Ney wa Mitego hajui kuimba????? Hauko serious na maisha chalii angu
Au nimechanganya....ule anaimba Safina ya NuhuUna uhakika?
Ney anaimba, na anarapKuna kuimba na kupiga kelele ney anaimba nini kama sio kelele tu
Ule unaitwa hakuna jipya ninaosema mimi hauna hata wiki tangu auachieAu nimechanganya....ule anaimba Safina ya Nuhu
Baba Diamond [emoji23][emoji23]Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.
1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.
2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.
3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana
4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.
5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.
6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha
Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu
Nyimbo gani aliyo rap ambayo ww unaikubali? Afu mi nikupe aliyoimba angalau kidogo alijitahidiNey anaimba, na anarap
Baba diamond mzee wa dudu la yoyo aendelee au aacheKuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.
1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.
2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.
3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana
4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.
5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.
6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha
Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu
Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
Ikibidi aache tu maana ashaanza kuimba utumbo ka wa babake[emoji23][emoji23][emoji23]na diamond platsnum
Alisema...aka wimbo wa taifa, na kuimba kuna nyimbo nyingi kaimba vzr tuNyimbo gani aliyo rap ambayo ww unaikubali? Afu mi nikupe aliyoimba angalau kidogo alijitahidi
Alisema ni ngojera ile mkuu hamnaga rap ya vileAlisema...aka wimbo wa taifa, na kuimba kuna nyimbo nyingi kaimba vzr tu
5: HEMED ni mwanamuziki mzuri sana labda hujui anachofanya ila kwenye Rnb anasimama vizuri sana.
sawasawa judge mkuu. . .lakini kapovu ni kadogo sana, Sanasana watakupuuza tuKuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.
1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.
2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.
3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana
4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.
5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.
6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha
Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu