'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

FREEMAN AIKAEL MBOWE=AACHANE NA SIASA ARUDI KWENYE U DJ
 
Yaani mtu alikwenda kuiwakilisha nchi kwenye Tusker Project Fame halafu unasema hajui kuimba?
 
Mkuu Matonya uliyemtaja ni yule wa Tanga au wa Dodoma? Kama ni yule wa Tanga aliyeimba Vailet basi mtakae radhi. Kama mbishi kasikilize tena hizi ngoma;
1.Dunia mapito
2.Vaileti
3.Mrembo
4.Anita
5.Siamini
6.Tax bubu
 
Umesema jide hajui kuimba!
Uhalali wa post yako umeishia hapo.
Sikiliza wimbo unaitwa Faraja kwanza kisha rudi hapa.
Mtoa mada kakurupuka hata kama hampendi Jide, ila anajua aisee mi kuna nyimbo zake nazisikiliza mpaka Leo.
 
Babaake Dismond..
Hahahaa
 
Hebu skiliza kwanza dude jipya La Mchomvu linaitwa Reality and Uniqueness Gifted Entertainment(RUGE) au ile inaitwa Adam.
 
Duh, hahaha
 
Mungu wangu eeh yani hadi muimba injili masanja unasema hajui hakika wewe unafuata tu radha ya muziki sio ujumbe...kifupi naweza tu sema wewe nawe ujui muziki...alaf fanya utani wako wote ila si kwenye injili... imeandikwa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu haitosameheka
 
Hizo kazitoa lini? Sisi tunazungumzia sasa hivi broo
Mkuu Matonya uliyemtaja ni yule wa Tanga au wa Dodoma? Kama ni yule wa Tanga aliyeimba Vailet basi mtakae radhi. Kama mbishi kasikilize tena hizi ngoma;
1.Dunia mapito
2.Vaileti
3.Mrembo
4.Anita
5.Siamini
6.Tax bubu
 
BONTA NA WAKAZI??


Aisee watotoo wa Mwinyi na Mkapa mnaaaa......









 
its good to try,isipobuma si unafanya mengine.lol….. the problem is not trying at all..ukute mtoa mada ushaanzisha biashara yako ikafa,leo unamcriticise mwenzio kwa kujaribu kufanya biashara nyingine (Music)..mnhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…