'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.

1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.

2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.

3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana

4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.

5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.

6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha

Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu

Hapo kwa masanja na hamisa nakupa asilimia 500, masanja sijui anaimba utumbo gani.
Hao wengine sijui.
 
Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
Mzee baba hapa watoe
Bonta na Ney wa Mitego.
 
Mnataka watu tujiajiri halafu mnatushauri tuache muziki,mnataka tuwe vibaka jamani?....Ila nashukuru jina langu halimo acha niendelee kupiga kazi
 
Ali kiba akacheze mpira tu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wala mimi sikufanya loloteee...! Maradhi ya moyo siku zoote...! Hivi unamjua PhD vizuri kweli
 
Sidhani mtu kama Adam Mchomvu anafanya mziki ili auze,naona anafanya kwa starehe zake
 
Mtu kama Mansuli sidhani anaimba kwa ajili ya hela labda kujifurahisha na kutafuta jina u
 
Wote uliowataja wao wenyewe hawafanyi mziki siriasi. Sio kila jambo mnapenda kulichukulia sirias.
 
Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.

1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.
Mimi huyu Mchomvu, hata huo utangazaji, kwa sauti hiyoo.....mmmmmmmm!
 
Ndio maana kakwambia kama naww unaona kunawengine wanavamia fani za watu lete list
Mbona hujawataja Joti, Mpoki, Bambo n.k! Kuna wakati huwa wanaimba! Au wao wanapatia? Zamani mdada Fina Mango aliimba ila sijui ikawaje akaachana kabisa na kuimba!
 
Baba Diamond aka agah...dudu la yuyu agah....agah... iam office

Achana na mziki tulia home lea waijukuu
 
Back
Top Bottom