'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Nabaki nagunaa gunaaa


its good to try,isipobuma si unafanya mengine.lol….. the problem is not trying at all..ukute mtoa mada ushaanzisha biashara yako ikafa,leo unamcriticise mwenzio kwa kujaribu kufanya biashara nyingine (Music)..mnhh
 
Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
Amber Rutty aendelee na kazi yake
 
Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
Naylee..Moja ya wadada wenye vocal safi sana..kweli masikio tunatofautiana
 
Adam Mchomvu dah, huyu jamaa tunaofahamu habari zake ni kwamba hata pale Clouds aliingizwa sababu ya uelewa wake kwenye miziki ya Lingala a.k.a Bolingo lakini maajabu yake ni kwamba baada ya kufika pale kabadilika na kujifanya mtu wa Hip Hop[emoji16]!! Hip Hop inamkataa lakini bado analazimisha!
Teh teh..Hii ndo naisikia leo
 
Best Naso na Chief maker

Dah Hawa jamaa sijui kwa nini bado wanakaza
 
Write your reply...mazee munaonekana mnaujua sana mziki,,, kwann musiimbe nyie,, mata*o nyit
 
Daaa bro mtoe hemedy phd.kuna ngoma inaitwa Alcohol daa aisee jamaa ana kipaj itafute hyo ngoma then njoo kwenye uzi uedit ufute jina la hemedy
 
Back
Top Bottom