Shemeji kumbe nawe huvumi lakini umo eeh?KING KOLA..?? Hahaha..huyo jamaa alishawahi kunimwagia maji Mawingu Club Kijenge baada ya kuingia bure...long time sana
Mie JayMo tu.
Ile verse ya pili kwenye song la jirushe ni shida
kabooooooooom!!!!!!...kaka sungura ni noma aiseee..yuko ligi sooooorabbit wa kenya,,,
Mie JayMo tu.
Ile verse ya pili kwenye song la jirushe ni shida