ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Linex anaimba kwaya siku hizi wimbo wake mpya ni kama pambio. Na kwenye video ndio katokea kama mwanga.
Belle wimbo wake wapili ni masogange,mbona ilikuwa kali tu.Na ametoa ngoma nyingi tu kali baada ya hapo but still raia wanazichukulia kawaida, mfano hizi alizoachia hivi karibun 'Listen' na 'Wanitaka' zote kali
Duuh listen wimbo wa siku nyingi sana, unamiaka miwili sasa. Huo wanitaka sawa japokuwa nao unamiezi ya kutosha.
Hawa ni baadhi ya wasanii ambao kwa mtazamo wangu wana bahati mbaya kwa kuvuma kipindi ambacho anavuma Diamond,i mean isingekuwa uwepo wake kwenye game kwa wakati huu wangepata attention/tuzo nyingi but uwepo wa jamaa umekuwa tatizo kwao coz akili za watanzania wengi kwa miaka hii zimetekwa na Diamond kwa either mziki wake or habari zake, (mfano hai humu JF kwenye hili jukwaa utakuta thread nyingi kadominate yeye).Ni kama kwenye kabumbu kuna kamsemo,'Asingekuwepo Messi tuzo zote za uchezaji bora angekuwa anazichukua Ronaldo'.Kwa vipaji na ukali wa nyimbo zao hawa nahisi wangekuwa mbali zaid ya walipo sasa (kwenye kivuli cha Diamond);
1. Belle9
2. Rich Mavoco
3. Barnaba
4. Ben Pol
5. Linex
ben pol mtoe hapa... Toka ametoka M- Lab anaimba ujinga ujinga tu siku hizi..
Asee ningependa na kijana wa nakshi nakshi ally kiba awekwe hapo....maana toke Diamond katakeover hatumsikii
Tathimini yako ya uongo kila mtu ana fans wake hiyo yakusema kama sio diamond wangewika ni uongo asilimia 100%
Huu wimbo mimi ni mmojawapo ya watu tuliomshauri sana Marlaw haupeleke radio niliukuta studio Iringa tukasikilizishwa na mdau mmoja wa kuitwa Temi. Moja kati ya vitu navyojivunia kwenye tasnia.
Hapa napata shida kukuelewa, nyimbo aimbe Marlaw halafu wewe ndio ujivunie kazi yake? Bado sioni any connection, ungekuwa ni producer au DJ ningekuelewa.
Ruge aliusikia akiwa Morogoro huu Wimbo, moja kwa moja akatafuta mawasiliano yake na kumhamishia Dar. Bembeleza ni bonge la wimbo kwa miaka mingi zaidi. Ni mkono wa Tudd Thomas aliyenyonga ngoma ya Mdogomdogo ya Diamond.
Siasa ndio zilizomuangusha Marlaw, ila jamaa anasauti kama msasa laini unasuguliwa kwenye tikiti maji. Namheshimu sana.
Ova
Yeye Linex na Zitto wakiisoma hii comment wanaweza kulia.
Marlow toka aoe na muziki kushney
Mkuu kuna mahusiano gan kati ya siasa na kushuka kwa marlow? Mbona diamond kafanya sana kazi na CCM na ndo huyu anawakimbiza wengine?