Wasanii walioathiriwa na Diamond

Hakuna msanii aliyefanya kazi nyingi za CCM kama Marlaw na Bushoke (mtoto) ambao walitunga wimbo kabisa wa kusifia CCM na wote wakapotea. Diamond alitumbuiza tu, tena sio kwa matukio mengi kama ilivyokuwa kwa wasanii wengine wengi.

Usipotoshe mkuu kama huna taarifa za kutosha unanyamaza kuficha umbumbumbu wako,,Diamond alibadili ile nyimbo ya mbagala ikawa na version ya CCM,Chege na Temba walibadili nyimbo kibao moja wapo ni ile Dar mpaka Moro kuna version ya CCM,mbona hawajashuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…