asrams
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 4,798
- 2,652
Aiseeee!ni baada ya kuacha upunda maana hyu alisha wekwa mpaka bondi uko pakistan yeye na mshkaji wake dalasi wa wolper.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee!ni baada ya kuacha upunda maana hyu alisha wekwa mpaka bondi uko pakistan yeye na mshkaji wake dalasi wa wolper.
Dumba tu ndio inatumika1.mb dog
2.z anto
3.sumalee
4.spark
5.keisha
6.pingu na deso
7.kassim mganga
Kwani njia ya kupata fedha ni kwa kuimba tu?Utapataje fedh kama hautoi hitsong
#7 hajafulia kama wengine.1.mb dog
2.z anto
3.sumalee
4.spark
5.keisha
6.pingu na deso
7.kassim mganga
Acha maneno ya kijiweni wewe,suma lee hajawahi kanyaga pakistanini baada ya kuacha upunda maana hyu alisha wekwa mpaka bondi uko pakistan yeye na mshkaji wake dalasi wa wolper.
acha dhihaka mkuu bonge la ID halafu unaandika pumbaMBONA ALI KIBA SIO WA BABU TAKE NA AMEFIKA MBALI HADI KUTOA VIDEO FT TEMBO?
unataka nikwambie na aliyekuwa anamtuma?hakuna mtu kaaribu wasanii kama shikuba...kma unafahamiana na suma muulize yule jamaake alokatwa vidole baada ya wao kuwekwa bondi na tajiri wao kichwelewesha malipoAcha maneno ya kijiweni wewe,suma lee hajawahi kanyaga pakistani
keysha si mbunge viti maalum iweje useme amefulia wakati kapaaa juu zaidi1.Mb dog
2.Z anto
3.Sumalee
4.Spark
5.Keisha
6.Pingu na Deso
7.Kassim Mganga
ok funguka kidogo mkuu coz nilikua nje kidogo ya Tanzania but last year kabla sijaondoka alishinda ubunge vitu maalum.. labda uwe umetengulia kama wa irene uwoya..wabunge gani mbona upo outdate sana
Haa haa haas haa nmecheka sanaNdo maana kikwete alisema, ukitaka kula sharti uliwe,
Sasa hawataki kuliwa, ndo inakula kwao ss 🙂 🙂 🙂
Dini hairuhusu mziki wowote uleSuma Lee mzee wa chungwa hakufulia amemrudia muumba wake kaachana na ya dunia na hiv sasa ni sheikh na nyimbo anazoimba ni Qaswida