Sugu moto juu,Nampongeza kwa usugu wako pamoja kupitia vizingiti vingi na wale wasanii waliokuwa wanakusaliti hawakujua kuwa wewe ni mwenzao wakaenda kwa wanasiasa ambao wanawanyonya kazi zao kwa taarifa wasanii wengine waliokuwa wanapiga kampeni na ccm warushwa pesa zao na wengine hawajapata mpaka sasa na kaama mbunge akushinda atawalipa kweli. Suguuuuuuuuuuuuuuu moto juuuuuuuuuuuuu