sugu ni mbunge wetu wa mbeya mjini na siyo mbunge wa wasanii wa tanzania, wao si waliwapigia debe ccm, basi sisiem iwatetee, acha wafu wazike wafu wenzao!
maugomvi yenu ya kisanii msiyalete kwenye siasa bwana
Kwenye bold hilo ndilo neno kuu.Nimewaheshimu sana watu wa mbeya na nawakubali sanaaaaaaaa!
Hongereni kwa kuchagua Sugu!
SUGU-pls usiogope ndani ya bunge we sema tena kwa uwazi coz kama sio leo basi 2015 CHADEMA ITACHUKUA NCHI so ili chadema 15 ifanye vizuri naomba wote wabunge wachadema msimame imara x100.
asanteni sanaa wana mbeya msijali hao ccm hawata wasaidia chochote walishindwa tangu UHURU.kila kitu mkoa wa mbeya mnacho vyakula na dhahabu chunya so msiitegeme serikali ya ccm coz watabana maendeleo hilo liko wazi mfano hai ni walivyo isusa Moshi mjini!SHAME ON THEM.
http://jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1http://2.s01.jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1
im so afraid
alikuwa anaganga njaa tu. yawezekana hata kitabia ni kirukanjia kama alivyofanya kwenye siasa.Nakaya ni mnafiki wa kutupwa na nimeapa kamwe sitosikiliza nyimbo zake wala kumpa sapoti ya aina yoyote ile, Mr. Politician kumbe ilikuwa ni kwa manufaa yake binafsi, shame on you Nakaya tulijua tumepata binti jasiri mwenye msimamo na uchungu wa nchi yake kumbe hovyooooooo mbinafsi mkubwa. Wewe na wengine wote ya aina yako ni kichefuchefu kwa watanzania.