Wasanii waliopotelea "Majuu" kuna faida yoyote?

Nadhani faida ipo kwa wale wasanii wachache ambao wamefanikiwa lkn kwa wale ambao bdo mambo hayajawanyokea mmmh ni bora wakarudi tuu home!! Lkn hata wakirudi alafu wakakutana na katiba kama hii watakuwa maskini zaidi bora wabakiiiiiii

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mimi mwenye nishaichoka bongo nikienda ulaya ntakua narudi kusalimia tu
 
Solo Thang mtoto pori, kwao Mbagala!! Kajaribu mara kadhaa kwenda majuu lakini ilishindikana, niliposikia kafanikiwa nilijua tu hawezi kurudi tena!! Na ndiyo yalotokea

Bado karatasi alijatoka yuko ireland huko anapigwa na baridi ikitoka tu utamuona bongo kaja kuuza nyago
 
Fikra mgando.Maisha ni popote mtu anapoona panamfaa mradi havunji sheria.Obama asingekuwa President wa USA kwa fikra mgando za aina yako.
 
Mi siku zote huwa nalala naota naamka nikiomba siku 1 niende Jamaica nanisirudi kabisa milele
 
ebola ikitua bongo,tutatamani tungekuwa hao wanammusics walioishia majuu
 
brasil...yani hapa nilipo nameki ikitumia tu..natua zangu copacabana..
 
lakina haina faida kwao, ikitokea amefariki huko majuu mwili wake utachomwa moto na kuzikwa,
hapa bongo hatakuwa na alama yeyote ile!!
Kifupi hina faida kifamilia!!

Samahani, embu nieleweshe kidogo, sasa ukifa na kuzikwa Bongo, kisha kuwekewa alama, familia yako itafaidika na nini?
 
hivi Sna Lee (Snop Lee) mdogo wake Baucha nilisikia alizamia Germany kipindi cha 2000's toka aondoke sijawahi kuskia hata fununu kama bado yuko hai

Snaa Homy yupo Germany anapiga boksi na kujiendeshea maisha yake poa tu, bora kuliko usanii wa kibongo ukitoa single moja ukapange foleni ya kutoa shikamoo kwa Ruge ndio upewe show ya laki tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…