Wasanii waliovuma lakini wakashindwa kutengeneza pesa

Wasanii waliovuma lakini wakashindwa kutengeneza pesa

kwani kuna shida gani ukiaa kwenu huku unamtakacare mama yako mzazi,,Maisha hayawezi kufanana hata siku moja
Tatizo lililopo
Ni kwanini hawaishi maisha kama tuliyoyazoea sisi wananchi wengine ?

Tanzania ni kawaida kukuta mtu anaumia zaidi na lifestyle ya mtu fulani akiamini kwamba lifestyle yake inafaa kuigwa na kila mtu
 
Tatizo lililopo
Ni kwanini hawaishi maisha kama tuliyoyazoea sisi wananchi wengine ?

Tanzania ni kawaida kukuta mtu anaumia zaidi na lifestyle ya mtu fulani akiamini kwamba lifestyle yake inafaa kuigwa na kila mtu
Sasa hiyo ni shida ya Watanzania wenyew, kwanini uumie kisa lifestyle ya mtu?
 
Hata muheshimiwa Jokate nasikia bado anakaa kwao

Inawezekana ni maamuzi sio kama hana uwezo wa kutoka nyumbani
Tid hana uwezo wa kupanga nyumba nzuri na kuishi maisha anayoyataka ndiomaana kang'ang'ania kwa mama hata akichoka mtaani anakopesheka bia.
 
Huyu jamaa Na pamoja na Ben Pol Na bell9
Cjui wanakwama wapi
Linex Mungu kambania tu lakin walio hai na wafu wanakiri tu jamaa ni shida. Kipind nyota ya mond inatokelezea alkuwa tayar juu.
 
hao wote mnao wataja walikua na malengo makubwa sana , na kihalisia wanaishi maisha mazuri sana, walishika pesa bado vijana wadogo kwenye foolish age walipata wasicho stahili kupata katika umri mdogo, walitembea nchi nyingi ustaa waliokua nao ulikuwa mkubwa sana“““““
ila mpaka leo wapo hai huo ni utajiri mkubwa sana kwao. nani asiye mjua tid , chid na qchillah :::

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali kina miaka ya 2010 alipigika akaacha mziki baada ya kushushwa ili diamond apandishwe na clouds hili tukio lilileta kutoelewana kwa kina na clouds akamaindi akakaa kimya kwa miaka mitano hivi ndio clouds wakamfata upya aje kumshusha diamond, alirudi tena kwenye bwawa la fedha kwa bifu lake na diamond ola sasa mambo hayaendi baada ya kichwa ruge kutangulia mbele, kwa sasa pesa zimekata hata deni la milioni 4 huko studio hajalipa
 
Ali kina miaka ya 2010 alipigika akaacha mziki baada ya kushushwa ili diamond apandishwe na clouds hili tukio lilileta kutoelewana kwa kina na clouds akamaindi akakaa kimya kwa miaka mitano hivi ndio clouds wakamfata upya aje kumshusha diamond, alirudi tena kwenye bwawa la fedha kwa bifu lake na diamond ola sasa mambo hayaendi baada ya kichwa ruge kutangulia mbele, kwa sasa pesa zimekata hata deni la milioni 4 huko studio hajalipa
Unatafuta ugomvi watakuvamia oohooo.
 
Wapi Man X mzee wa "Nimechezea bahati", Ferooz, Mr Nice, Crazy GK
 
Back
Top Bottom