Wasanii wamikoani mmepatwa na nini..!!!!!?

Sasa uzunguni ni tofauti na tauni mkuu maana mbezi beach ni 11-12 km from City Centre na huko Masaki, Oysterbay ni around 4-5 km from City Centre kwaio hakuwezi kua town
 
Sasa uzunguni ni tofauti na tauni mkuu maana mbezi beach ni 11-12 km from City Centre na huko Masaki, Oysterbay ni around 4-5 km from City Centre kwaio hakuwezi kua town

Asante kwa kunikumbusha mkuu hahahah! Maana uzunguni pananoga sana kule, mpk bhaaaasi ikabidi tu kwa exception niwe nawapa free-pass pawe town tu.
 
Hata wasanii wa dar wanahisi kama wakienda marekani watatoboa au kufanya collabo na mwanamziki aliye marekani ambaye yuko kwenye chat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…