Wasanii wamikoani mmepatwa na nini..!!!!!?

Wasanii wamikoani mmepatwa na nini..!!!!!?

[emoji2][emoji2] ndiyo mkuu, town kabisa ni "KATA YA MAGOGONI", "KATA YA KISUTU (ndani yake ndo ipo Posta pia)", "KARIAKOO", "MNAZI MMOJA" na hata Kata ya UPANGA pia ipo town flani.

Sema siunajua maeneo ya Masaki, Oysterbay, Msasani, Mbezi Beach, Mikochoni.. Huko ni Uzunguni flani ndo maana nikayapa heshima zao. Mitaa hyo panapendeza kwa kweliii[emoji2][emoji2]
ila my point nilkuwa najaribu kumjibu mtoa mada kuwa "KUNA BAADHI YA MAMBO UKTAKA KUTUSUA NDOTO ZAKO BASI NI MUHIMU SANAAAA KUHAMIA SEHEMU AMBAYO NDO KITOVU CHA MAMBO YATAKAYOKUSAIDIA KIURAHISI KUKAMILISHA NDOTO ZAKO"

NB: KUNUNUA "BENTLEY CONTINENTAL GT" HALAFU UKAWA UNAIENDESHEA KWENYE MAKORONGO, VISIKI NA MAWE, NI KUFANYA MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI" [emoji2].
Hivo mtu mwenye kipaji cha muziki na anayetaka kuwa mwanamuziki wa Kitaifa basi ni vyema akajinoa kwnza sana na kisha atafute "connections" ambapo kwa TZ hakuna ujanja itamlazimu tu kuja DSM.
Sasa uzunguni ni tofauti na tauni mkuu maana mbezi beach ni 11-12 km from City Centre na huko Masaki, Oysterbay ni around 4-5 km from City Centre kwaio hakuwezi kua town
 
Sasa uzunguni ni tofauti na tauni mkuu maana mbezi beach ni 11-12 km from City Centre na huko Masaki, Oysterbay ni around 4-5 km from City Centre kwaio hakuwezi kua town

Asante kwa kunikumbusha mkuu hahahah! Maana uzunguni pananoga sana kule, mpk bhaaaasi ikabidi tu kwa exception niwe nawapa free-pass pawe town tu.
 
Hata wasanii wa dar wanahisi kama wakienda marekani watatoboa au kufanya collabo na mwanamziki aliye marekani ambaye yuko kwenye chat
 
Back
Top Bottom