Rummy Yupo vizuri analamba watoto wakareeee na Fedha anazo za kutosha.
Huyu APA ndo jipu linatakiwa litumbuliwe bongo movie yote kamaliza na bongo fleva
Usanii umemshinda sasa amekuwa Promoter anataka amtoe KR Mullah.yaani tid yupo live fnl.. anajua bhanaaa hizi ngada Walaaniwe wanaileta
ila kuna pini kaimba hapo daaaaaaah ngada ilaaniweUsanii umemshinda sasa amekuwa Promoter anataka amtoe KR Mullah.
Ndo hivyo ni kama kipindi kile cha campaign walivyolazimishwa waipende ccm ukikataa nyimbo zako kapuni
Hali inatisha kiukweli. ..nipo chimbo kufanya tathmini nije na list ya ukweli ya wanamuziki na vijana maarufu bongo wanaopumuliwa kisogo. .mbaya zaidi wengine wanakula unga na kubokolewa
Huyu ndo anawafanya wasanii punda mkuuRummy Yupo vizuri analamba watoto wakareeee na Fedha anazo za kutosha.
Na pia kaiweka serikali mfukoni.Huyu ndo anawafanya wasanii punda mkuu
Usiniambie Savimbi Jr ni mwanamusikiList ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2
Bado hajaacha tu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji85]Mkuuu! Chillah hata mie ananisikitisha sana!!! The dude is talented, hakuna nyimbo katoa sijapenda. Such a waste of talent!!!
Hivi kwann mateja hupenda kukuna shingo hata kama wakiacha??????mtazame q chillar kwenye video ya for you wakati anamwomba mb dog viatuAaache na asirudi tena kwenye huo ulimwengu. Kijana yuko fit sana kwenye gemu, I love his music!!
Haaaaaa Savimbi Chillah Huyo mla ngada aliyestahafu,Ila ngada imepoteza vipaji,nikimkumbuka savimbi wa I'm a Dreamer Daaaa Aiseee alaaniwe Rummy,Kinje,Abdul zeze,shkuba,mokoirizi,Azan kwa kuangamiza vijana.Usiniambie Savimbi Jr ni mwanamusiki
Inasikitisha Sana Cowobama (MAP).Kuna yule aliyejidanganya eti atafanya deal moja la kulala maskini na kuamka tajiri. Ameshalala mazimaaaa