Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Halafu hivi unajua kama Katema na mfadhili wake bwana QS? halafu kwa maelezo ya Chillah jamaa alikuwa ana mshawishi aingie kwenye biashara ya kuwa punda.

wanapenda kula bata kila cku sasa laana ya kua punda lazma uwe mteja 2......90% ya mapunda ni mateja
 
Mkuu, ngoja tuweke akiba ya maneno, lkn "gari likiwaka" ipo siku tu litapita njia yanakopita yenzake!
Yeah. ..kinachomuokoa kwakuwa bado ana wafadhili. ..anakula nyeupe ya brazil
 
Wacha wale tu wengi washamba na malimbukeni baada ya kuingia town na kuendeleza vipaji vyao wanaiga mambo yasiyofaa ili kutafuta umaarufu mi nawashauri wale sana wapotee kabisa mteja hana maana kabisa.
 
Dalai lama aliwahi kusema tunapo kumbana na misukosuko katika maisha huwa tunareact either kwa kupoteza matumaini au kwa kuamua kupambana
matumizi ya unga mara nyingi ni viashiria vya kupoteza matumaini

When we meet real tragedy in
life, we can react in two ways--
either by losing hope and falling
into self-destructive habits, or
by using the challenge to find
our inner strength.
Dalai Lama XIV


Maneno mazuri sana haya. Yana mafundisho makubwa☝☝☝
Shukran sana mkuu,sana
 
List ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2
 
List ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2

funguka unaogopa nn
 
List ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2
1.TID
2.???
3.???
4.Ray C
5.Q Chief
6.Rachel
7.???
8.???
9.Ibra Da Hasler
10.Ben Pol
11.Mandojo
12.Daz Baba
13.Wema Sepetu
14.Hamidu/ Nyandu Tozi
15.???
16.Matonya
 
1.TID
2.??? --Byser
3.???---Lord Eyez
4.Ray C
5.Q Chief
6.Rachel
7.???-----Young D
8.???------ Ferouz
9.Ibra Da Hasler
10.Ben Pol
11.Mandojo
12.Daz Baba
13.Wema Sepetu
14.Hamidu/ Nyandu Tozi
15.??? -----Babuu wa kitaa
16.Matonya
------------------------------------------
Ukipata Ujumbe wa chuki,matusi futa delete kabisa.
------------------------------------------
 
Back
Top Bottom