Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Halafu hivi unajua kama Katema na mfadhili wake bwana QS? halafu kwa maelezo ya Chillah jamaa alikuwa ana mshawishi aingie kwenye biashara ya kuwa punda.

wanapenda kula bata kila cku sasa laana ya kua punda lazma uwe mteja 2......90% ya mapunda ni mateja
 
All the best in their new career.
 
20% ndo kaisha mbayaaaa, nasangaa mmemsahau kwenye hii list
 
Mkuu, ngoja tuweke akiba ya maneno, lkn "gari likiwaka" ipo siku tu litapita njia yanakopita yenzake!
Yeah. ..kinachomuokoa kwakuwa bado ana wafadhili. ..anakula nyeupe ya brazil
 
Wacha wale tu wengi washamba na malimbukeni baada ya kuingia town na kuendeleza vipaji vyao wanaiga mambo yasiyofaa ili kutafuta umaarufu mi nawashauri wale sana wapotee kabisa mteja hana maana kabisa.
 
Shukran sana mkuu,sana
 
List ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2
 

funguka unaogopa nn
 
1.TID
2.???
3.???
4.Ray C
5.Q Chief
6.Rachel
7.???
8.???
9.Ibra Da Hasler
10.Ben Pol
11.Mandojo
12.Daz Baba
13.Wema Sepetu
14.Hamidu/ Nyandu Tozi
15.???
16.Matonya
 
1.TID
2.??? --Byser
3.???---Lord Eyez
4.Ray C
5.Q Chief
6.Rachel
7.???-----Young D
8.???------ Ferouz
9.Ibra Da Hasler
10.Ben Pol
11.Mandojo
12.Daz Baba
13.Wema Sepetu
14.Hamidu/ Nyandu Tozi
15.??? -----Babuu wa kitaa
16.Matonya
------------------------------------------
Ukipata Ujumbe wa chuki,matusi futa delete kabisa.
------------------------------------------
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…