MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Wagombea wote hao hakuna anaeweza kuandika jina lake kiufasaha.Shilole anadhani ubunge ni shishi food!
DuuuuShilole anadhani ubunge ni shishi food!
Harmonize ameshapitishwaHawapiti kwenye kura za maoni hao
Hii noma sasa.Harmonize ameshapitishwa
TemekeProf Liquid.
Tanga Mjini,CCMMwana Fa....hajaweka wazi jimbo gana na chama gani ila katia nia
Piere liquid anaweza mpaka English lakini akiwa kashalewaWagombea wote hao hakuna anaeweza kuandika jina lake kiufasaha.
Tanga mjini yupo Ummy Mwalimu chakula cha jiwe....Tanga Mjini,CCM
umeona mbal mkuu✊Wanatumika kuja kuwamaliza watanzania.Yaani CCM wanachotaka ni akidhi itimie huko bungeni ili waweze kurekebisha katiba then Magufuli atawale hadi kifo!
Yupo serious ,amenyoa hadi RastaMaster J Rombo
balance of payment, inflation, devaluation, exchange rate, taxation, service delivery, poverty alleviation, infrastructure na bragazijutoKm bulaya ameweza ubunge shilole anashindwa nini?
Sioni tofauti kati ya kibajaji, Msukuma na Steve Nyerere. Sasa kama hao wanapita kwenye kura za maoni na kushinda ubunge kwa nini Steve asipite?Hawapiti kwenye kura za maoni hao
Sugu na Jay unalinganisha na akina Steve Nyerere. You must be joking broUmeanza kufuatilia siasa mwaka huu Hili halina ubishi, sugu profesa j ni wasanii na ni wabunge wa chadema
Wana tofauti gani? Labda utofauti kina sugu wamechagua Sacco's na kina nyerere wamechagua chama tawalaSugu na Jay unalinganisha na akina Steve Nyerere. You must be joking bro
Ndoo ya kudekia?Hapo profesor kingwendu mapeema asubuhi anachukua ndoo.