Uchaguzi 2020 Wasanii wanaogombea Ubunge 2020

Tanzania kweli tunaleta utani kwenye vitu vya msingi,hivi shilole awe mbunge kweliiiii!!!!hahaahaaa🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀...ndo maana rasilimali nyingi tunazo,lakini hatuna maendeleo miaka 50
 
Hawa wasanii wameshajua bungeni kuna hela za bure.hao ndio tunaoenda kuwategemea kutuchambulia na kutunga sera za kuiendesha nchi. Bado tuna safari ndefu
 
Wakazi, Ukonga, ACT Wazalendo.
Mwana FA, CCM
 
Hao wasanii wakiupata ubunge tutegemee bunge la mafala lisilo na maamuzi ya kijaja yaani ni maboya watupu
 
Ngoja na mimi nigombee 😒😒
Chezea Hela za bure Weyye.
 
WOIIII ATUITAJII VITUKOBUNGEN
CCM WAMBWBE HARMONIZER HAOO WENGINEE BLAABLAAAA NJAAA
 
KUNA NGO NYUMAYAOO NN INATOAHELAA ZA KAMPENI KAH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…